Mtagwa lindi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 311
- 96
Baada ya uchaguzi wa hivi karibuni nimesikitika sana kusikia mtu mmoja anavyeo zaidi ya vitatu ndio kusema wengine hawaweziii??mtu Mbunge/Diwani huyo huyo mwenyekiti,mjumbe wa NEC,kamat ya fedha jumuiya ya wazazi huu ni ujinga