CCM Wapiga Mkwara Television Kuruka Live

CCM Wapiga Mkwara Television Kuruka Live

Baba atakosana na wanawe wana watakosana na baba zao! Yamekamilika ccm hiki ni kifo cha mende! Ukawa karibu kutukomboa ccm bye bye! Usiombe kulamba matapishi yako
 
Hakuna mtenda maovu anayetaka, matendo yake maovu yaende hewani LIVE! Kwani nia yake hapo baadaye nikusema, YEYE hakuhusika na huo ubaya.....!
Ni kweli, mabaya hayawezi kutendeka mwangani ila kwenye giza. Pengine ukumbi umegeuka ulingo wa ngumi na mipasho kama kawaida yao.
 
Azam Tv wanarusha, Baruan Muhuza ndiyo anahoji wajumbe wa mkutano mkuu, waliofika ndani ya Ukumbi mpya
 
harakati za Jk kumrisisha binamu urais imetibua kila kitu.
Namshukuru Mungu jinsi njia zake kutaka shauri zisivyo kama tufikirivyo sisi binadamu.
yetu yatapanguka ya Mungu yatasimama.
ccm bye bye!
anataka iuufanya urais kama ishu ya kindugu,hata asha rose na amina wana mahusiano ya karibu na jk
 
mliopo online na mnaocheki tv tujuzen nn kinaendelea??

mkutano mkuu bado......nafikiri halmashauri kuu mambo magumu,wamemgomea jk kupitisha nduguze wawe marais....sidhani kama mkutano miuu utaendelea.....wakati jk anaingia ukumbini wajumbe wa halmashauri walikuwa wanaimba wana imani na lowasa
 
Back
Top Bottom