CCM wapata aibu ya mwaka Musoma Mjini

CCM wapata aibu ya mwaka Musoma Mjini

huku musoma kwetu ukisikika unataka ccm then watasema huyo ni mgeni sio mwenyeji.
muda si muda utaona unazungukwa na kuulizwa,mura/ yego/omega wewe ni mgeni hapa au ebu jitamburishee,jaji/ muda/ omera.
huku kwetu ccm is a walking ghost .
 
mikutano ya ccm bila kulazimisha wanafunzi wa shule za msing na sekondari hawawezi kupata watu. Hata hivyo wana nini cha kuwaambia wananchi? Kinana mwenyewe iliapate cha kusema ilibidi abadilishe hotuba zake kwa kulahumu, kukashifu na kukiombea msamaha chama chake.

:thumbup:
 
Mathayo kala nyumbu sana mpaka akili yake imegeuka kuwa kama ya manyumbu,hii ccm imekufa kibudu
 

Attachments

  • 1425382969488.jpg
    1425382969488.jpg
    20.9 KB · Views: 419
Ccm siku ya jana walipata aibu ya mwaka katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo Musoma mjini hii ni baadaa ya kutangazia wakazi wa Musoma kuwa viongozi mbali mbali mkoa wa Mara hswa wabunge watakuwepo katika mkutano huo wa jana.ila hakuweza kuonekana mbunge hata moja.kutoka mkoa mzima wa Mara.walibaki kupiga mziki na kutoa matusi kwa viongozi wa Chadema.kusema ccm mkoa wa Mara hawana mvuto tena.

Ndio nasikia walihutubia miti?
 
mwalimu nyerere alivyokufa,na ccm ikafa hii ya sasa ni ya waganga njaa

Huo ndio ukweli. Mara nyingi ujiuliza hawa viongozi wa ccm wako sawa kiakili? maana kwao siasa ni uongo hawaioni kama sayansi ya mabadiliko ya jamii....mbaya zaidi wote huwaza kujaza matumbo yao kwanza.....ambayo hayajaziki....si watu wa kawaida....

Mfano, hivi inamwitaji nini JK kuelewa kuwa uandikishaji wa watu milion takribani 21 za wapiga kura hawawezi kuandikishwa kwa mwezi 1 nchi nzima? Kwanini ccm wasielewe kuwa katiba pendekezwa haiwezi kupita na siya mwafaka wa kisiasa na ziadi haibebi matakwa ya watanzania zaidi uwajibishwaji na maadili ya viongozi.
 
Huo ndio ukweli. Mara nyingi ujiuliza hawa viongozi wa ccm wako sawa kiakili? maana kwao siasa ni uongo hawaioni kama sayansi ya mabadiliko ya jamii....mbaya zaidi wote huwaza kujaza matumbo yao kwanza.....ambayo hayajaziki....si watu wa kawaida....

Mfano, hivi inamwitaji nini JK kuelewa kuwa uandikishaji wa watu milion takribani 21 za wapiga kura hawawezi kuandikishwa kwa mwezi 1 nchi nzima? Kwanini ccm wasielewe kuwa katiba pendekezwa haiwezi kupita na siya mwafaka wa kisiasa na ziadi haibebi matakwa ya watanzania zaidi uwajibishwaji na maadili ya viongozi.

Akili yake inachokijua ni kuwatafuta wasichana wenye makalio makubwa tu awatunuku. Hili ni bomu la kihistoria
 
CCM siku ya jana walipata aibu ya mwaka katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo Musoma Mjini.

Hii ni baada ya kutangazia wakazi wa Musoma kuwa viongozi mbali mbali mkoa wa Mara haswa wabunge watakuwepo katika mkutano huo wa jana ila hakuweza kuonekana mbunge hata moja kutoka mkoa mzima wa Mara.

Walibaki kupiga mziki na kutoa matusi kwa viongozi wa CHADEMA.

CCM mkoa wa Mara hawana mvuto tena.
Labda walikosa mabasi ya kusomba magamba kutoka mikoa ya jirani kama Simiyu, Mwanza, Kagera na Shinyanga na pia labda wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari walikwa darasani wakati magamba yakiitisha mkutano.
 
Ntatafua li tisheti lao niliweke kama kumbu kumbu, muda si mrefu watakuwa kama KANU.

kenya kinaongoza chama gani. p.u.m.b.a.v.u- UHURU KENYATTA NI CHAMA GANI . M.J.I.N.G.A MKUMBWA . Kama ujui kitu kaa kimya
 
kenya kinaongoza chama gani. p.u.m.b.a.v.u- UHURU KENYATTA NI CHAMA GANI . M.J.I.N.G.A MKUMBWA . Kama ujui kitu kaa kimya
Tatizo lako lingekuwa ujinga tungekusaidia kwa kukuelimisha, lakini kwa kuwa ni zaidi ya ujinga hatuna msaada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom