Marwa Chacha
Senior Member
- Feb 5, 2015
- 102
- 51
CCM siku ya jana walipata aibu ya mwaka katika viwanja vya shule ya msingi Mkendo Musoma Mjini.
Hii ni baada ya kutangazia wakazi wa Musoma kuwa viongozi mbali mbali mkoa wa Mara haswa wabunge watakuwepo katika mkutano huo wa jana ila hakuweza kuonekana mbunge hata moja kutoka mkoa mzima wa Mara.
Walibaki kupiga mziki na kutoa matusi kwa viongozi wa CHADEMA.
CCM mkoa wa Mara hawana mvuto tena.
Hii ni baada ya kutangazia wakazi wa Musoma kuwa viongozi mbali mbali mkoa wa Mara haswa wabunge watakuwepo katika mkutano huo wa jana ila hakuweza kuonekana mbunge hata moja kutoka mkoa mzima wa Mara.
Walibaki kupiga mziki na kutoa matusi kwa viongozi wa CHADEMA.
CCM mkoa wa Mara hawana mvuto tena.