Parabolic
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,756
- 2,646
Katika hali ya kubaini mambo magumu, CCM kupitia Serikali yake sasa imeanza kuvibana vyombo vya habari kuhakikisha vinaandika zaidi habari za Dr. Magufuli kuliko Lowassa. Hatua hiyo inakuja wakati tayari CCM ina vyombo vyake vinavyoipigia debe zikiwemo TV za TBC na Star TV na magazeti ya Uhuru, Daily news, Habari Leo, Jambo Leo na Raia Mwema/ Tanzania, bado inakerwa na vyombo Huru vya habari.
Hivi karibuni CCM wamemfukuza mwandishi wa habari wa Mwananvhi aliyeandika story ya Magufuli kuxomewa Mbeya na wana Chadema.
Hali hiyo inakuja baada ya kuona wanatumia fedha nyingi kwenye vyombo vya habari bila faida. Mahudhurio kwenye mikutano ya CCM ni hafifu ukilinganisha na ya mgombea wa Ukawa Edward Lowassa.
Baadhi ya wamiliki wa vyombo vya habari wanetishiwa kufungiwa wanapoonyesha au kuandika sana habari za Ukawa.
CCM wamekuwa wakisomba watu kwa malori tena wakiwalipa hela.
Kama hiyo haitoshi Vyombo vya serikali kama National statistics Bureau zinatumika kuonyesha uchumi unakua hata kama maisha ya Watanzania ni magumu. PPRA wao wameingia mkenge kutangaza ufisadi Tanroads sasa wanajisafisha.
CCM inatumia fedha na nguvu kubwa kumnadi Dr. Magufuli kiasi cha kuanza kutumia matusi na kejeli kwa Lowassa ili watu wamchukie, lakini ndio anazidi kupendwa.
Utafiti umeonyesha kada ya watu wa chini hasa mama ntilie, boda boda, wakulima na wafanyakazi wanaongoza kwa kumkubali Lowassa.
Juzi gazeti la Uhuru la CCM limedai eti Lowassa ametenga sh milioni 10 ili kuwahonga bodaboda baada ya kuona wameshindwa kuwashawishi.
Hivi karibuni CCM wamemfukuza mwandishi wa habari wa Mwananvhi aliyeandika story ya Magufuli kuxomewa Mbeya na wana Chadema.
Hali hiyo inakuja baada ya kuona wanatumia fedha nyingi kwenye vyombo vya habari bila faida. Mahudhurio kwenye mikutano ya CCM ni hafifu ukilinganisha na ya mgombea wa Ukawa Edward Lowassa.
Baadhi ya wamiliki wa vyombo vya habari wanetishiwa kufungiwa wanapoonyesha au kuandika sana habari za Ukawa.
CCM wamekuwa wakisomba watu kwa malori tena wakiwalipa hela.
Kama hiyo haitoshi Vyombo vya serikali kama National statistics Bureau zinatumika kuonyesha uchumi unakua hata kama maisha ya Watanzania ni magumu. PPRA wao wameingia mkenge kutangaza ufisadi Tanroads sasa wanajisafisha.
CCM inatumia fedha na nguvu kubwa kumnadi Dr. Magufuli kiasi cha kuanza kutumia matusi na kejeli kwa Lowassa ili watu wamchukie, lakini ndio anazidi kupendwa.
Utafiti umeonyesha kada ya watu wa chini hasa mama ntilie, boda boda, wakulima na wafanyakazi wanaongoza kwa kumkubali Lowassa.
Juzi gazeti la Uhuru la CCM limedai eti Lowassa ametenga sh milioni 10 ili kuwahonga bodaboda baada ya kuona wameshindwa kuwashawishi.