Kabla hujaruhusu watu wapime maneno yako. Hebu wewe mwenyewe yapime kwanza. Usikute hukushirikisha ubongo kabla ya kuandika.Humu kwenye mutandao mmejaa sana ila bahati mbaya sana wapiga kura wako site na huko mmeadimika sana toka enzi za Dr.Slaa ..pimeni Maneno yangu
Kowasa wa wapi huyo?Ni vema sasa wakaanza kumpigia Kowasa Kampeni. Hakuna jinsi!
Kufuatia CCM kuendelea kuchukiwa na wananchi walio wengi na kuhamwa na mamilioni ya wanachama na kuzomewa kila wanapo onekana wamevaa kijani na njano kwa sasa uongozi wa CCM unatamani kubuni rangi nyingine ili kuepuka fedheha wanayo ipata.
Humu kwenye mutandao mmejaa sana ila bahati mbaya sana wapiga kura wako site na huko mmeadimika sana toka enzi za Dr.Slaa ..pimeni Maneno yangu
rangi siyo msahafu , unaweza badili kulingana na matakwa ya muda .Yanga imeanzishwa yapata miaka 80 sasa huwezi leo kuja na hoja eti rangi zibadilishwe kwalipi mpira na siasa wapi na wapi wkt siasa ni mambo ya mpito tu halafu nembo ya sisiem na yanga ni moja eeee???acha mawazo potofu.
Alivyoondoshwa zito mlisema hvohvo.
We jamaa umenikumbusha Zito mtu niliye mpenda lakni sifa ndo zimemuathiri unyenyekevu ndiyo sifa kuu ya mcha Mungu Anaweza kurudi kwa wenzake bila shaka watampokea hakuna aliye mkamilifu