nyembela
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 412
- 523
Ndiyo wanastahili lawama nahata kupoteza sifa kuliongoza taifa hili. Waliwabeza na kuwaita majina mabaya watu wote waliotoa ushauri kwa serikali, naanza na wabunge hakuna asiyejua wabunge wa CCM ndio wengi bungeni katika vipindi vyote walikuwa na uwezo wa kuishauri serikali ili haya yasitokee lakini wao walifu kila kitu ambacho leo wanaungana na walee wafuasi wamabeberu.
Upo wapi uzalendo wao? Pili ni viongozi wote wanatokana na CCM leo wengi wao hawapo upande wa marehemu je'wanatupa ujumbe gani watanzania, hawakujua wajibu wao? Ufisadi huu kwa serikali ya CCM si wakwanza ila wao ndio waliyejipa kazi ya kung'arisha kila paliposemwa pachafu, leo hii wanakubali na kukiri kila walipong'arisha kwa maneno ni kweli palikuwa pachafu sana.
Upo wapi uzalendo wao? Pili ni viongozi wote wanatokana na CCM leo wengi wao hawapo upande wa marehemu je'wanatupa ujumbe gani watanzania, hawakujua wajibu wao? Ufisadi huu kwa serikali ya CCM si wakwanza ila wao ndio waliyejipa kazi ya kung'arisha kila paliposemwa pachafu, leo hii wanakubali na kukiri kila walipong'arisha kwa maneno ni kweli palikuwa pachafu sana.