jengo libomolewe lote waweke mnara wa jembe na nyundo kuashiria namna hizo zana zimetumika kudumaza taifaYale majengo ya lumumba ccm ikifa tuyafanyie nn, me napendekeza yawe hostel za wanachuo ili kuwapunguzia shida za malazi,
Wwe unapendekeza nn
Kodi yetu tubomoe vipi ili tupate hasara?jengo libomolewe lote waweke mnara wa jembe na nyundo kuashiria namna hizo zana zimetumika kudumaza taifa