CCM wanachokifanya UDOM ni ujinga mtupu!

CCM wanachokifanya UDOM ni ujinga mtupu!

Siasa chafu zimwingia na kuathiri sana wanavyuo. Kusoma kumepungua sana, politics imetake over.

Pinduaneni tu, hakuna kufungwa huko ila mkihama na revolutionary actions mtanyongwa huku mtaani.

Kama ni haki basi msimamie ukweli. Kumbukeni kusoma sana maana ni Only thing you step there for.
 
Kimekuwa cha tatu kwa ubora wa elimu Tanzania kwa ukubwa ni cha kwanza acha kuongea vitu usivyovijua
acha kutudanganya cyo cha tatu 3 cha 11 kwa ubora wa elimu Tz.....ingia..google andika...""20best universities in Tanzania 2015/2016"".....ukubwa wa kichwa cyo wingi wa akili.....
 
Kimekuwa cha tatu kwa ubora wa elimu Tanzania kwa ukubwa ni cha kwanza acha kuongea vitu usivyovijua
Muongo sana wewe....ni cha 11 mwaka huu.....angalia google utaona...andika ""20best universities in Tanzania 2015/2016"" ni cha tatu kwa ukubwa Afrika....ukubwa wa kichwa...si wingi wa akili inaweza kuwa debe tupu haliachi...ku..... hyo ndo udom
 
Shida sana. Bsi wekeni kwenye notuce board zenu. Hapa umetuacha hoi na usomi wenu
 
HONGERA VICTOR KWA KUWAUMBUA MASNIRCH

Mimi binafsi ninampongeza bw Victor Bemelya rais wetu kwa kuliondoa Bunge ambalo lilikuwa ni jibu kuu katika college yetu hii ya Humanity na social science,

Ukweli nimefurahi sana wabunge walikuja kupokea first year lakini kaz yao kubwa ilikuwa ni kuwa wafanyakazi wa NSSF na sio kupokea wanafunzi walikuwa wanalipwa huko na wakachukua na posho udoso.

Yaani wabunge kazi yao ilikuwa ni kufanya biashara na kuchonganisha serikali na utawala nakumbuka spika alikataa kusain hela iende kwa MACR vile vile alikataa kuitisha BUNGE LA DHARURA ili wanafunzi ambao hawana ada wapewe hela ya udoso ili wakisain Boom zirejeshwe.

Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake mpeni tulikuwa tunalipa Bima ya Afya 100000 sasa hv tunalipa 50400 kama Victor Alivyoaidi Direct Cost ilitaka kupandishwa mpaka shilling 450000victor alikomaa mpaka ikawa shilling 16900

Nyinyi wabunge mlikuwa wapi kipind victor anapigania maji mbona hakuwepo hata mmoja pale Alfa speaker alikuwa wapi na yeye kupigania suala la maji si ni wewe speaker na Magandula mlioenda kusema kwa utawala victor alipoomuomba wadeni wa Block 15 awaweke watu ambao hawajasajiliwa mkasema kuwa Victor na Wadeni Wameuza Block mpaka kufikia hatua victor kutaka kufukuzwa.

Leo hii yale mambo aliyoyafanya mwaka jana kwa Mwakibinga ameanza tena kwa Victor alikuwa anasema hata victor akileta jina la Maraika nihakikisha wamemukataa ili tupindue serikali mpaka niwe Rais wa udoso.

Vikao ambavyo anakaa Magandula ambaye ni katibu mwenezi wa ccm na Spika akishirikiana na viongozi wa ccm wanapanga Magandula awe Rais halafu amtengenezee speaker tume aje awe Rais

Kumbe juhudi zenu ni Madaraka kumbe sio tena kuwapigania wanafunzi sijawahi kuona speaker ameweka Bunge La Dharura kujadili maji au kujadili watu ambao hawalipa ada wasaidiweje lakini Bunge la dharura la kumuondoa waziri mkuu tumesikia mapaka tumechoka.

Josias Charles pamoja na Magandula kila siku wanaapa kuondokoa kiongozi wa chadema Humanity ili siku ya serehe ya kupokea first year wapate sifa kwa Rais kikwete kumbe wanatafuta sifa kuwa wameiondoa serikali ambaye imeshikiliwa na wanachadema sio kuwasaidia Wanaudom.

Hii sio sawa kumbe kosa la victor ni kuwa mwanachadema sio utendaji kazi wake mbona nyinyi wanaccm kama mlikuwa Mnataka wachapa kazi mbona Mwakibinga mbona mlimsnirch nyinyi hamna chema nyinyi.

Na Wewe Mwita tulikuwa tunakuona kamanda kumbe sio kabsa unaungana na Magandula kumsnirch Victor Rudi kundini kijana msaidie victor nae anamapungufu yake kama Binadamu anaomda anaweza kujipanga upya akapiga kazi Oscar Kapalale wamemtoa mhanga tagert yao sio wewe ilikuwa ni victor ila walikuwa lazima wapitie kwako ili akipekeka majina mara tatu wayakatae kikatiba atajiondoa kuwa Rais kwa hiyo amewashutukia hao makanjanja.

Hongera sana vile vile victor kwa kupambana na ccm ili uendelee kuwasaidia wanaudom maana kila siku wabunge na viongozi wa ccm wanakaa vikao Dodoma Hotel kuhakikisha unaanguka lakini Mungu atakupigania

Wanaudom hamuijui hii vita watu wanalazimisha waondoke na CV za kuwa marais bila GPA watu wanataka chama chao kuwa Dominant na sio kutatua matatizo yenu tuungane na Victor na wewe mheshimiwa Rais fanyia kazi kero zetu sasa hivi huna Bunge ndio lilikuwa linakukwamisha chukua hela lipa MACR shughulikia Boom zetu uliwaid na Mungu akubariki

Justice 4 Victor Bemelya
Tunampenda hivyo hivyo mkituita tutakuja kuwapa kipigo we Love Our Victor

Ni mimi

Alphonce Mathias
Baed mwaka wa 3
0786554757

Share hii sms mpaka kwa masnirch.
Nimeshindwa kumaliza kusoma thread yako kulingana na level yako ya elimu ya chuo kikuu lakini umeshindwa kuandika ukaeleweka pia umeshindwa kuelewa wapi hii ulitakiwa upeleke,ukirudi tena rudi na mpangilio mzuri.
 
''
Kumbe juhudi zenu ni Madaraka kumbe sio tena kuwapigania wanafunzi sijawahi kuona speaker ameweka Bunge La Dharura kujadili maji au kujadili watu ambao hawalipa ada wasaidiweje lakini Bunge la dharura la kumuondoa waziri mkuu tumesikia mapaka tumechoka.''

Mmmmh! BA Education mwaka wa tatu. ? Ukitoka hapo nd'o ukafundishe. with this kind of composition skills. Kazi ipo.
 
Enyi wasomi,punguzeni siasa mingi. Embu vumbueni namna ya kupata maji Safi na kutengeneza umeme wenu msaidie na vijiji vya jirani Kama nong'ona. Mtakumbukwa na kuandikwa kwa hayo badala ya kuililia ccm na serikali kilasiku
 
Kimekuwa cha tatu kwa ubora wa elimu Tanzania kwa ukubwa ni cha kwanza acha kuongea vitu usivyovijua

!
!
Kwa uandishi huu kwa kweli nimuonee huruma mleta mada. Huyu ni mwaka wa tatu, wa mwaka wa pili au wa kwanza yukoje? Halafu ndio baed aje ajihusishe na ualimu, atafundisha nini huyu? Ingekuwa kiingereza si ndio aissee. Chuo cha Dodoma ni Kikubwa sana, ila pia nina mashaka kama ni chuo kikuu pia.
 
Chuo chenyewe ni Udom chuo cha Kata


Lazima aandike hivyo.....
V you vingine ni majipu, TEKU, SEKUKO, EKENFORD TANGA UNIVERSITY, nasikia kuna kingine kinaitwa MAKUMILA sijui. kiukwel usajili Wa hivi vyuo vya Kata uangaliwe upya
 
HONGERA VICTOR KWA KUWAUMBUA MASNIRCH

Mimi binafsi ninampongeza bw Victor Bemelya rais wetu kwa kuliondoa Bunge ambalo lilikuwa ni jibu kuu katika college yetu hii ya Humanity na social science,

Ukweli nimefurahi sana wabunge walikuja kupokea first year lakini kaz yao kubwa ilikuwa ni kuwa wafanyakazi wa NSSF na sio kupokea wanafunzi walikuwa wanalipwa huko na wakachukua na posho udoso.

Yaani wabunge kazi yao ilikuwa ni kufanya biashara na kuchonganisha serikali na utawala nakumbuka spika alikataa kusain hela iende kwa MACR vile vile alikataa kuitisha BUNGE LA DHARURA ili wanafunzi ambao hawana ada wapewe hela ya udoso ili wakisain Boom zirejeshwe.

Mnyonge Mnyongeni lakini haki yake mpeni tulikuwa tunalipa Bima ya Afya 100000 sasa hv tunalipa 50400 kama Victor Alivyoaidi Direct Cost ilitaka kupandishwa mpaka shilling 450000victor alikomaa mpaka ikawa shilling 16900

Nyinyi wabunge mlikuwa wapi kipind victor anapigania maji mbona hakuwepo hata mmoja pale Alfa speaker alikuwa wapi na yeye kupigania suala la maji si ni wewe speaker na Magandula mlioenda kusema kwa utawala victor alipoomuomba wadeni wa Block 15 awaweke watu ambao hawajasajiliwa mkasema kuwa Victor na Wadeni Wameuza Block mpaka kufikia hatua victor kutaka kufukuzwa.

Leo hii yale mambo aliyoyafanya mwaka jana kwa Mwakibinga ameanza tena kwa Victor alikuwa anasema hata victor akileta jina la Maraika nihakikisha wamemukataa ili tupindue serikali mpaka niwe Rais wa udoso.

Vikao ambavyo anakaa Magandula ambaye ni katibu mwenezi wa ccm na Spika akishirikiana na viongozi wa ccm wanapanga Magandula awe Rais halafu amtengenezee speaker tume aje awe Rais

Kumbe juhudi zenu ni Madaraka kumbe sio tena kuwapigania wanafunzi sijawahi kuona speaker ameweka Bunge La Dharura kujadili maji au kujadili watu ambao hawalipa ada wasaidiweje lakini Bunge la dharura la kumuondoa waziri mkuu tumesikia mapaka tumechoka.

Josias Charles pamoja na Magandula kila siku wanaapa kuondokoa kiongozi wa chadema Humanity ili siku ya serehe ya kupokea first year wapate sifa kwa Rais kikwete kumbe wanatafuta sifa kuwa wameiondoa serikali ambaye imeshikiliwa na wanachadema sio kuwasaidia Wanaudom.

Hii sio sawa kumbe kosa la victor ni kuwa mwanachadema sio utendaji kazi wake mbona nyinyi wanaccm kama mlikuwa Mnataka wachapa kazi mbona Mwakibinga mbona mlimsnirch nyinyi hamna chema nyinyi.

Na Wewe Mwita tulikuwa tunakuona kamanda kumbe sio kabsa unaungana na Magandula kumsnirch Victor Rudi kundini kijana msaidie victor nae anamapungufu yake kama Binadamu anaomda anaweza kujipanga upya akapiga kazi Oscar Kapalale wamemtoa mhanga tagert yao sio wewe ilikuwa ni victor ila walikuwa lazima wapitie kwako ili akipekeka majina mara tatu wayakatae kikatiba atajiondoa kuwa Rais kwa hiyo amewashutukia hao makanjanja.

Hongera sana vile vile victor kwa kupambana na ccm ili uendelee kuwasaidia wanaudom maana kila siku wabunge na viongozi wa ccm wanakaa vikao Dodoma Hotel kuhakikisha unaanguka lakini Mungu atakupigania

Wanaudom hamuijui hii vita watu wanalazimisha waondoke na CV za kuwa marais bila GPA watu wanataka chama chao kuwa Dominant na sio kutatua matatizo yenu tuungane na Victor na wewe mheshimiwa Rais fanyia kazi kero zetu sasa hivi huna Bunge ndio lilikuwa linakukwamisha chukua hela lipa MACR shughulikia Boom zetu uliwaid na Mungu akubariki

Justice 4 Victor Bemelya
Tunampenda hivyo hivyo mkituita tutakuja kuwapa kipigo we Love Our Victor

Ni mimi

Alphonce Mathias
Baed mwaka wa 3
0786554757

Share hii sms mpaka kwa masnirch.
Wewe alphonce ni bwana mdogo soma achana na siasa za vyuo nyie ndio mmedumaa akili kwa kudhani siasa ni maisha
 
V you vingine ni majipu, TEKU, SEKUKO, EKENFORD TANGA UNIVERSITY, nasikia kuna kingine kinaitwa MAKUMILA sijui. kiukwel usajili Wa hivi vyuo vya Kata uangaliwe upya



Tanzania kuna Vyuo vingi vya Kisanii.....


Kuna kimoja kipo Moshi kwenye Depot za TBL...
 
Back
Top Bottom