Wakati CDM tunajianda kuweka jiwe kama ilivyo ada baada ya kutenguliwa kwa ubunge wa Arusha mjini, CCM wamejipanga kuchukua jimbo lao.
Wao wameazimia kuweka almasi ambayo kwa msing ni ngumu kuliko jiwe. Kwa wale waliosoma kemia watakubaliana nami.
Lengo letu la ama kumpandisha Silaha au kumrudisha Lima itakuwa ni njia pekee iliyobaki. CCM hawatafanya kosa hata chenmbe, unajua tena next opportunity when it comes like mkate kutoka mbinguni. Hivyo CDM tusibweteke kwamba hata jiwe wakati wenzetu wanaandaa almasi.
KIDOKEZO: A. Kinana utakumbuka ndiye aliyeifanya Arusha kuwa Arusha hivi leo. Mt. Meru hospitali ni mradi wake na mingine mingi.
Lets wait and see.