Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.
Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!
Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!
Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!
Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!
Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!
Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!
Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.
Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.
Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.
Wacha hawa wanaokumbatia Jambazi Sugu watalitapika tu.