CCM wametushika pabaya

CCM wametushika pabaya

Matumizi za sisiem yana direct or indirect relation na ya serikali mwaka huu naona wamejitoa mhanga matangazo kwenye redio na tv mwaka huu yamekithiri kisa wasiwasi. Kama mwananchi nafikiri mwakani kama bahati mbaya wakapita wataludisha hadi kodi za baiskeli. Mwananchi uwe makini.
 
Hilo nalo neno.

Queen Esther

Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.

Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!

Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!

Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!

Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!

Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!

Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!

Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.

Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.

Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.
 
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.

Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!

Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!

Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!

Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!

Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!

Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!

Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.

Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.

Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.

Ccm hakuna kiongoz masikin wote ni matajiri wa kutupwa, watuambie kwaza wao wamepata wapi hzo mali, wengine sasa ni mabilionea kwa mda wa miaka 10 tu..
 
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.

Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!

Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!

Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!

Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!

Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!

Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!

Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.

Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.

Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.

Mkuu vipi na yale makombora ya Epa, Escrow, Twiga kupanda ndege,wizi wa mitihan kwa January, Mabehewa feki, ATC, madawa ya kulevya,barabara kupunguzwa upana,
Nayo ameyalipua
 
Wakuu,
Siku zinavyoenda ndivyo CCM inavyotoa makombora yake (unleash new weapons)... Cha kushangaza UKAWA wanasema "tupuuze" ila kimsingi hizi dozi zinazo tolewa hazivumiliki.

Leo Makamba kamwaga mboga...kumbe Lowassa alikatwa 1995 baada ya kukutwa na Mali zisizo elezeka!!

Kumbe Lowassa ana mashamba makubwa.. Kuyakagua hadi upande helicopter!!

Kumbe Lowassa hakupigana vita ya iddi amini!!

Kumbe dada yake Lowassa kachukua tenda zote za halmashauri ya Monduli!!

Kumbe Lowassa hakerwi na masikini ana kerwa na umasikini wake!!

Kumbe Sumaye ni kabaila, anamashamba mengi mkoloni wa kingereza.!!

Na bado Makamba, kasema kaacha akiba. Najua akiba ataenda kuimalizia Tanga.

Kiukweli haya makombora ni mazito na kiukweli ukawa kwa sasa tumeshikwa pabaya.

Tujipange tena 2020, kwa sasa magufuli kesha fika ikulu.... Naona mkuu wa nchi naye yuko naye bega kwa bega anazidi kuumpa nondo Magufuli.

Kwahiyo ukiwa ccm yote hayo ya Lowassa na Sumaye sawa kabisa, lakini pale unapohama tu yanageuka dhambi???
 
Safari hii mtajua kuwa mitandao mnaoitumia ki propaganda haifai kabisa. Watu wameamua kuwa na Rais muadilifu. Halafu pamoja na shtuka zao na mikakati ya kupinga kuweka Rais msafi watasoma namba tu. Tunasema wirhin the first 5years tutakuwa kwenye uchumi wa kati.
Wamehodhi maeneo mengi mno. Haya yaliyotajwa ni kidogo mno.
CCM mbele kwa mbele....mtaisoma namba

Mkuu wewe ni Zuzu,yaani hujui kama Ardhi yote ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ipo chini ya rais?
 
Mimi na Lowassa Mimi na UKAWA, MUNGU anijaalie nifike October niitendee haki kura yangu kwa Lowassa na UKAWA.
 
Sawa. Ila hilo ni kosa kubwa sana. Km huyo Lowasa ana mambo yote hayo kwa nini hamkumshitaki? Kwa nini hamkumnyanganya? Au akiwa mwenzenu mnakaa kimya akitoka ndio mnasema? Hii ina maana wanaccm wengi wana madhambi lakini kwa kuwa wapo ndani mbawafichia? Nini kiliwazuia siku zote kuraifisha mali zao ambazo mbasema hazina maelezo? Kwa nini mkae na mtu mvhafu mpaka aondoke mwenyewe ndio muanze kumsema?

Aliondoka mwenyewe baada ya ndoto za kwenda ikulu kufifia ndani ya chama. Km mambo ni haya kwakweli lowasa hafai kuwa rais
 
Hahahahaha kweli ccm mmekata Tamaa duh, badala ya kusambaza Sera zenu watu wazijue mnaconcetrate na lowassa. Wanasema hivi>>>>>>ukitaka kujua mtu kakosa hoja mwangalie vizuri lazima ataanzisha personal attacks. Ccm you guys are dead na October ndo mazishi yenu
 
Ukiwa wana tabu sana ...yaani kabla hawajasafisha vurumai la Dr Slaa ...Mzee makamba anaongezea taharuki.
 
Mwaka 2013 nilikuwa Kenya
Mengi yalisemwa ikiwepo
Unamiliki Aridhi nyingi sana uliipataje......
Umeua watu
Una hela nyingi
Ila mwisho wa siku ni huyo huyo muuaji, mwizi, tapeli ndio Raisi wao na maendeleo yanaonekana sasa tofauti na mwanzo
 
Ukiwa wana tabu sana ...yaani kabla hawajasafisha vurumai la Dr Slaa ...Mzee makamba anaongezea taharuki.

Mzee makamba yupi yule mdini... mwambie akatengeneze mbinu nyingine za kumtafutia mtoto wake uwazini..2015 ni Ukawa tu
 
poleni ccmmtahangaika sana lowasa huyooo ikulu watanzania tumeamua kumpeleka ikulu lowasa
 
mtoa mada wewe ndio umeshikwa pabaya sio sisi ukawa
 
Back
Top Bottom