safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,312
- 18,181
Wamesemaje mkuu ?Wameshatengeneza tatizo, sasa wanalitatua! Hongera sana Mwigulu Nchemba
Wamesemaje mkuu ?Wameshatengeneza tatizo, sasa wanalitatua! Hongera sana Mwigulu Nchemba
Wanalifanyia kazi wamesikia kilio cha WananchiWamesemaje mkuu ?
Hahahahaha Ona huyu!Wakitengua watakua wajinga. Hapo walipogusa ndio sehemu sahihi ya wananchi kuchangia kodi kama kwa hiari hawataki.. haushikiwi pistol ila unalipa kidi. Ndio maendeleo yanavyokuja kwa kulipa kodi.
Uko sahihi kabisaIwekwe kwenye study kwamba haya ni madhara yatokeayo na kupita bila kupingwa
Tuliuona huu mchezo tokea mbaliTayari neno lako limetimia.. wajinga wamerudi kivingine
Gabachori tu hana akili wala huruma na ngozi nyeusiNashawishika kuamini kuwa hii ni danganya Toto ili waonekane kuwa wanawajali watu au kuwa Vyombo vyetu/vyao viko pamoja nasi.
Sasa hivi au baada ya muda kelele zitakapo kuwa nyingi watakuja na "kutengua" huu ujinga then watu au kile kikundi cha Praise Team wataongeza sauti ili waonekane wazalendo.
Time will tell. This time wakija msiwaamini.
View attachment 1855482