CCM wamepanga hili - read

CCM wamepanga hili - read

hakuna haja wao wakitoa vipande vpande vya u edit, dawa yake wewe toa nzima kama ilivyo utakuwa umeumbua kesho hawatarudia tena dawa ya freedom of speech is more freedom of speech ili watu wapate picha ya uhakika.

OMG!you are so clever, and where is my LIKE button jamani?
 
wewe ushaiona hiyo video? kama hujaiona;
1. umejua je kwamba kweli ipo?
2. umejua je kwamba si ya kweli?
3. wewe unakana kwamba si ya kweli ukiwa kama nani?
4. je? wewe ni miongoni mwa wanao onekana kwenye video hiyo?
kama umeiona; umeiona wapi nasi tukaiangalie?

Yaani hapa ndo nimekupata kiuwazi kabisa. Siku zote walikuwa wakisema wanakujua wewe nani nikawa nawashangaa wanaujuaje mwandiko wako? Sasa kwanini unafanya kazi za CCM ukiwa CDM kaka mkubwa?
 
Yaani hapa ndo nimekupata kiuwazi kabisa. Siku zote walikuwa wakisema wanakujua wewe nani nikawa nawashangaa wanaujuaje mwandiko wako? Sasa kwanini unafanya kazi za CCM ukiwa CDM kaka mkubwa?
wewe ni josephine! Dada shikamoo? mzee hajambo.kama umenijua ni jambo jema maana kujuana ni jambo jema
 
Really?They've reached that far?.............loading..............
 
Wanaweza kutunga movie ila lazima kuna sehemu nyingi movie itakataa Na wananchi watajua Ukweli.

Huoni movie ya Kova ilivyododa!
Kova!!!!!!!!!!!When i see this man or hear him i feel nauseated?one wonders how he got there!'pathetic comedian'!!!!!!!!!!!!!!
 
that's very possible! i have the same feeling that kuna mchezo mchafu sana unapangwa ndani ya ccm kutoa pigo moja takatifu la kuichafua cdm. its a strange feeling... i think u may be right!

siasa ni mchezo mchafu..cdm ni muhimu wajue kuwa kuna mapandikizi wa ccm ndan ya chama chao kwa lengo moja tu la kuchafua na kuhakikicha cdm haimsimamishi madarakani, hasa kuongoza nchi..tuwe waangalifu, pia tutunze amani na tusichezee uhuru tulionao
 
Najua wapenda maendeleo wote tunajua ubaya wa CCM na viongozi wake,sasa wamepanga kuleta video inaonesha viongozi wa CHADEMA wakipanga kufanya fujo kama alivosema Mwigulu,si kwamba video hyo itakua na ukwel hapana ila kuna teknolojia itatmika ya editing na itarushwa katika vyombo vya habar na itasambazwa,narudia si video ya kweli ila ujanja wa hali ya juu umetumika ili kuwaaminisha watanzania.na weng wataamini..najua hili litatolewa ufafanuzi zaidi na wataalamu wa software zinazohusika.ila makamanda jiandaeni kwa hli
Take that

Vipi ule mtambo wa sms bado unachapa mzigo?
 
...CCM wajue kuwa ni vigumu sana kuzuia kifo. Muda wao umefika na bahati mbaya sana hawakufuata mashart ya afya boro kwa kuendekeza kubwia unga wa Ufisadi kupita kiasi, wameendekeza ushoga kupita kiasi na kuishia kugawa Rasilima za watanzania hovyo kwa mabasha zao huko ulaya.

Kwakuwa vitendo na mienendo yao viko tofauti na mila zetu, laana hii lazima iwapeleke kaburini 2015...
 
Kwa hiyo Mwigulu Mchemba aliropoka mapema?

Najua wapenda maendeleo wote tunajua ubaya wa CCM na viongozi wake,sasa wamepanga kuleta video inaonesha viongozi wa CHADEMA wakipanga kufanya fujo kama alivosema Mwigulu,si kwamba video hyo itakua na ukwel hapana ila kuna teknolojia itatmika ya editing na itarushwa katika vyombo vya habar na itasambazwa,narudia si video ya kweli ila ujanja wa hali ya juu umetumika ili kuwaaminisha watanzania.na weng wataamini..najua hili litatolewa ufafanuzi zaidi na wataalamu wa software zinazohusika.ila makamanda jiandaeni kwa hli
Take that
 
sasa tumepoteza uwezo wetu wa kufikiri, tumelogwa watanzania,

hivi tunasubiri video ya mipango ya mauaji kutoka CCM?? badala ya vyombo vinavyo husika kuwakamata na kuwafungulia mashtaka wahusika,

wakati wao CCM ndo wana dola, alafu wakimbilie kwenye vyombo vya habari kulia kulia kwa wananchi hainiingii akilini,

kama CDM wametenda jinai si washughulikiwe kisheria??

kwa mambo haya nchi inongozwa kwa mujibu na katiba na sheria?? na tukisema yule jamaa anayekaa magogoni pale ana kichwa cha nazi mtabisha???
 
Alete na sisi tutamletea mkanda akimla mke wa kada mwenzake pale Igunga:majani7::majani7: habari ndiyo hiyo kamanda
 
Mwigulu amerudia mara kadhaa kuwa anayo video aka mkanda unaoonyesha viongozi wa chadema wakipanga mauaji, so haitakuwa jambo la ajabu tukionyeshwa

viongozi wa chadema hapo ndio huwa siwaelewi, hii ni defamation, kwa nini hawamchukulii huyu Madelu hatua za kisheria? This is criminal offence! Wanamwacha tuu kila siku anaropoka kwenye media, uwongo usipokemewa...
 
Back
Top Bottom