CCM wamepanga hili - read

CCM wamepanga hili - read

Hivi CCM wameshasahau kuwa kuna vyama vingine nchini kila kukicha ni CDM,CDM,CDM shame on you!!!!!!!!
 
Na wao wajiandae kushitakiwa naomba CDM kama litatokea hili tusilivumilie tuchukue hatua stahili ili iwe fundisho kwa atakaye fanya kitu hicho kuanzia msambazaji na vituo vitakavyoonyesha.

Hata hivyo CDM wanaonekana kuzembea sana matamko ya Mwigulu na wapambe wake. Anzeni kuchukua hatua za kisheria dhidi yao. Mbona CDM wanasheria mpo kibao? Mnafanya nini?
 
Samrich hiyo malaria usipoitibu mapema itakuwa sugu au itakutoa akili
 
Mwigulu amerudia mara kadhaa kuwa anayo video aka mkanda unaoonyesha viongozi wa chadema wakipanga mauaji, so haitakuwa jambo la ajabu tukionyeshwa
 
Wata2mia silaha zao zote kuiua CDM kabla ya 2015. Lkn wakishindwa CCM wanazikwa rasmi 2015.CDM komaeni ushindi unakuja.
 
Hivi tu ndivyo vinaifanya CCM ife kabisa, watu badala ya kuwa bize na vitu vya maana na namna nzuri ya kujenga nchi...wao wanahangaika na upuuzi!!
Hiyo video wanayotengeneza itatwasaidia nini wananchi wa Mtwara wanaotaka kunufaika pia na gesi inayotoka mkoani kwao? itasaidia nini kutatua mgogoro wa ziwa nyasa? kiwango cha elimu kinashuka itasaidia? bei za bidhaa za vyakula zianapanda kila uchao ..video hii iatusaidia nini ktk hili?
Nyambaff zao!!
 
Najua wapenda maendeleo wote tunajua ubaya wa ccm na viongozi wake,sasa wamepanga kuleta video inaonesha viongozi wa chadema wakipanga kufanya fujo kama alivosema mwigulu,si kwamba video hyo itakua na ukwel hapana ila kuna teknolojia itatmika ya editing na itarushwa katika vyombo vya habar na itasambazwa,narudia si video ya kweli ila ujanja wa hali ya juu umetumika ili kuwaaminisha watanzania.na weng wataamini..najua hili litatolewa ufafanuzi zaidi na wataalamu wa software zinazohusika.ila makamanda jiandaeni kwa hli
Take that
wewe ushaiona hiyo video? kama hujaiona;
1. umejua je kwamba kweli ipo?
2. umejua je kwamba si ya kweli?
3. wewe unakana kwamba si ya kweli ukiwa kama nani?
4. je? wewe ni miongoni mwa wanao onekana kwenye video hiyo?
kama umeiona; umeiona wapi nasi tukaiangalie?
 
Kazi ya chama tawala sio kuupinga upinzani serikali ya CCM kwakuwa na vijana wasio ona mbele na wazee walio filisika mawazo ndio hufikia hatua ya kuja na mikakati mfu kama hii wananchi wanakero nyingi ambazo wanatakiwa kuzitatua na kurudisha imani kwao leo wanabaki kutapatapa kaeni chini mfikilie sio kuipotosha jamii! CDM inawaeleza wananchi maovu na usaliti wa CCM kwa wananchi ni haki yao sasa CCM inapo geuka nakuanza kupigana na CDM ni ufinyu wa mawazo!
 
Hata hivyo CDM wanaonekana kuzembea sana matamko ya Mwigulu na wapambe wake. Anzeni kuchukua hatua za kisheria dhidi yao. Mbona CDM wanasheria mpo kibao? Mnafanya nini?
Dawa yake iko jikoni, hakika hatarudi bungeni 2015.
 
Toka waseme kuna video mda unapita hawaitoi, hivi kweli una "vivid evidence" wangekuwa hawajakamata watu na kuwapandisha kizimbani? Wanapepesa macho na midomo uchakachuaji unawashinda na cdm wanawasubiri kwa hamu, hila zitashindwa muda wa Mungu wa mabadiliko ukifika, watahangaika lkn hawatashinda.
 
Najua wapenda maendeleo wote tunajua ubaya wa ccm na viongozi wake,sasa wamepanga kuleta video inaonesha viongozi wa chadema wakipanga kufanya fujo kama alivosema mwigulu,si kwamba video hyo itakua na ukwel hapana ila kuna teknolojia itatmika ya editing na itarushwa katika vyombo vya habar na itasambazwa,narudia si video ya kweli ila ujanja wa hali ya juu umetumika ili kuwaaminisha watanzania.na weng wataamini..najua hili litatolewa ufafanuzi zaidi na wataalamu wa software zinazohusika.ila makamanda jiandaeni kwa hli
Take that

Hiyo video ni kweli wanayo, na wataitoa hivi karibuni.
Huu ni mpango kamambe chini ya 'Operation Chaos' !!

Someni bandiko hili hapa toka faceboo ya William Malecela....

@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!
 
Watu wanajiuliza kwann mauaji yalikuwa yanatokea kwny mikutano ya chadema tu?
 
asante kwa taarifa mkuu, ila intelejensia ya CDM ilifanyie kazi jambo hili mapema, ila ccm wajue hata walete video gani, lazima wakubaliane na kuwa WAMECHOKWA kwa haya tuyaonayo yanajieleza na yanatosha. Bye ccm.
 
Najua wapenda maendeleo wote tunajua ubaya wa ccm na viongozi wake,sasa wamepanga kuleta video inaonesha viongozi wa chadema wakipanga kufanya fujo kama alivosema mwigulu,si kwamba video hyo itakua na ukwel hapana ila kuna teknolojia itatmika ya editing na itarushwa katika vyombo vya habar na itasambazwa,narudia si video ya kweli ila ujanja wa hali ya juu umetumika ili kuwaaminisha watanzania.na weng wataamini..najua hili litatolewa ufafanuzi zaidi na wataalamu wa software zinazohusika.ila makamanda jiandaeni kwa hli
Take that
MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA. KIFO CHA NYANI KIKITIMIA MITI YOTE HUTELEZA. CDM ongezeni nguvu NYANI MZEE CCM hawezi tena kuparamia mti. KIMBILIA KAMATA UA TU. HIZI ni mbinu za kishenzi. IKITOKA tu nashauri ikamatwe iwe ushahidi ya kuwapeleka hawa majambazi HAGUE!!
 
Hii inawezekana kwani hata NCCR waliimaliza kwa njia nyingi, ila Chadema tutasonga mbele kwani wananchi wa sasa sio wa enzi za NCCR, tutaishinda tu hii makamanda tusonge mbele uwezo tunao nia tunayo matumaini pia yapo tuanza na Mungu pia tutamaliza na Mungu ,Chadema Nguvu ya uma
 
Mtu anayekaribia kufa haIshi kupwita pwita....ccm road to 2015 wataonja joto ya jiwe...cdm nguvu ya umma!!!!!!
 
Back
Top Bottom