Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 692
Najua wapenda maendeleo wote tunajua ubaya wa CCM na viongozi wake,sasa wamepanga kuleta video inaonesha viongozi wa CHADEMA wakipanga kufanya fujo kama alivosema Mwigulu,si kwamba video hyo itakua na ukwel hapana ila kuna teknolojia itatmika ya editing na itarushwa katika vyombo vya habar na itasambazwa,narudia si video ya kweli ila ujanja wa hali ya juu umetumika ili kuwaaminisha watanzania.na weng wataamini..najua hili litatolewa ufafanuzi zaidi na wataalamu wa software zinazohusika.ila makamanda jiandaeni kwa hli
Take that
Take that