CCM wamejimaliza wenyewe Kalenga

CCM wamejimaliza wenyewe Kalenga

Ccm kule kalenga wameangukia pua kabla ya uchaguzi, niliishatoa tahadhari mapema kabisa kuwa, wanakalenga wamemkubali mgombea wa Chadema vilivyo, cha kufanya makamanda waweke ulinzi imara dhi ya wizi wa kura, pili wanatakiwa wacheze na mbinu chafu zinazopangwa na ccm vyumbani mwao, maana kama ni kampeni tayari wameshindwa na wameuona upepo, kuwa Chadema haikamatiki, nashukuru makamanda wamefanya kazi nzuri sana, na kubaini mbinu chafu ya ccm wakishirikiana na tume, wameongeza wapiga kura kinyemera bila Chadema kuhusishwa, na tume inadai itatumia daftari la mwaka huu, wakati walikataa kuliboresha, ccm kwisha habari yake.
 
ccm kule kalenga wameangukia pua kabla ya uchaguzi, niliishatoa tahadhari mapema kabisa kuwa, wanakalenga wamemkubali mgombea wa chadema vilivyo, cha kufanya makamanda waweke ulinzi imara dhi ya wizi wa kura, pili wanatakiwa wacheze na mbinu chafu zinazopangwa na ccm vyumbani mwao, maana kama ni kampeni tayari wameshindwa na wameuona upepo, kuwa chadema haikamatiki, nashukuru makamanda wamefanya kazi nzuri sana, na kubaini mbinu chafu ya ccm wakishirikiana na tume, wameongeza wapiga kura kinyemera bila chadema kuhusishwa, na tume inadai itatumia daftari la mwaka huu, wakati walikataa kuliboresha, ccm kwisha habari yake.



chameda acheni kujifariji na kuomba huruma ya watanzania watuwataki kalenga
 
lakini ndugu simiyu yetu, amekosea nini hapa?, alichosema ni kweli kabisa usiwe unakuwa mubishi hata kwenye ukweli. ongopa Mungu

Hebu mwambie huyu jamaa asee...siku zote penye ukweli uongo hujitenga na asijaribu kubadilisha nyekundu kuwa njano. CCM wamejichanganya tayari na huo ndio ukweli wenyewe
 
Back
Top Bottom