dedam
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 845
- 165
Ccm ni sawa na gari lililochakaa kwa safari ya muda mrefu (miaka 50). Hata wana ccm wenyewe wamechoka sana. Mfano mabalozi wamechoka, hawajiwezi tena kwa lolote hoja au ushawishi hivyo nawashauri wale waliobaki wakimbilie gari la upinzani linaloweza kwenda kwa spidi inayotakiwa na wananchi ili wapate maendeleo ya kisasa.