BORNCV
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 242
- 46
Kuna kila dalili kwamba ccm wanaona wameshindwa na nguvu ya uma, wameamua kuanza kuwauwa wapambanaji ili kuwaogopesha wananchi kuendelea kudai haki yao. Shime wananchi hapo ndio mjue kwamba ccm wamekuwa wakituchinja muda mrefu kichumu, kisaikolojia, kiimani wameshindwa sasa wameamua kuchinja na kuua watu live kama anavyofanya asady kule syria, hii dhambi inayoitawala ccm. Tuwaondoe hawa watu. Na kwa taarifa nyenu ccm hakuna mwananchi atakayerudi nyuma ktk haya mapambano kama ni vurugu na kuondoa amani ni ninyi ccm ndio mnaleta ugomvi kwenye nchi yetu kwa makusudi kwa maslahi yenu binafsi halafu mnasingizia upinzani. Tutawaelimisha wazee na kina mama ambao walikuwa wanasema hatuchagui upinzani kwasababu wataleta vurugu hivyo wajue kuanzia sasa ni nani anayefanya nchi isiwe mahali pa kuishi, nashukuru kwamba wengi sasa wameshatambua hili.
Inatuuma sana sana
Inatuuma sana sana