Japo mimi ni ccm lakini uporaji huu siungi mkono kwasababu mimi kamaa mwanachama wa kawaida sifaidiki na chochote.
Kama hivi viwanja vya mpira wanavyoshindwa kuviboresha inasikitisha sana.
Agenda ngumu hii. Nakumbuka Songea uwanja wa majimaji ulijengwa kibabe na serikali, wananchi wote walienda kujitolea pale miaka ya 1982-82 (Azimio la Mlale) kwa
Kufyatua, kusogeza tofali na kujenga pia, bureee. Leo eti uwanja wa ccm. Duh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.