KWADWO ABIMBOLA
JF-Expert Member
- Jan 8, 2019
- 762
- 1,598
Haihitaji katiba mpya kuwalaza segerea. Ni tamko tu. Kama watashinda kesi ni mambo mengine. Ila watakuwa wamelala muda wa kutosha. Mzee Mwinyi tu anaweza kusamehewa kwa sababu ya uzee wake. Ila hawa mapapa ya ufisadi ni lazima yasote segerea.