GE2025 CCM waliopo humu kipindi hiki cha mfungo wanataka nini?

GE2025 CCM waliopo humu kipindi hiki cha mfungo wanataka nini?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,877
Reaction score
31,632
CCM imefungia huu mtandao kwa muda wa siku 90.

Ila wapiga kelele maarufu wa CCM naona nao wamegoma kupumzika bado wapo humu wana randa randa.

Hii inaashiria hata na wao hawakubaliani na uongozi wa Serikali iliyopo na inayotaka kuingia ya CCM ndio maana kwenye ule uzi wa michango kwa ajili ya Maxence nao wamechangia

Nimeona mpaka yule kada wao maarufu LM kachangia buku 5.
 
Ogopa sana mtu aliyekosa mshipa wa aibu! Na usikute mpaka wale walio ifungua na wenyewe wapo. Ila cha kushukuru kwa sasa zile mada zao za kipuuzi zimepungua.

Niwaombe wasimamizi wa jamii forums, kutozipa kabisa nafasi mada za kumsifia mgombea wao, na ambaye ndiye chanzo kikuu cha kufungiwa kwa huu mtandao. Ikiwezekana wazifutilie mbali huko. Kamwe wasikubali kuwa wanafiki.
 
Back
Top Bottom