Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,955
- 95,276
Mh Lema pale bungeni alisema kuwa wabunge wa ccm wanawabagua wabunge wa upinzani kwakuwa wapo wachache bungeni.
Akawaonya kuwa wakisha wamaliza wapinzani watageukiana wao kwa wao na ndiyo itakuwa mwisho wa ccm yenyewe.
Tazameni na msikilize huyu mwana ccm akikili hali hiyo ndani ya chama chao ccm.
Akawaonya kuwa wakisha wamaliza wapinzani watageukiana wao kwa wao na ndiyo itakuwa mwisho wa ccm yenyewe.
Tazameni na msikilize huyu mwana ccm akikili hali hiyo ndani ya chama chao ccm.