CCM Wakubali Ukweli... Nchi haitawaliki tena

CCM Wakubali Ukweli... Nchi haitawaliki tena

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,103
Reaction score
43,348
Kama pamoja na nguvu kubwa inayotumika kuwatisha wananchi bado wananchi wanatoka kila kukicha maana yake ni kuwa risasi hazijawavunja mioyo.

Nakumbuka maneno ya mwandamanaji mmoja miaka ile kule Morogoro..

"Polisi wanajifunza kuua na sisi tunajifunza kufa". Watanzania sasa wamehitimu.

Hawawezi kutawaliwa tena kibabe...hawawezi kufanyiwa kibabe...kuendelea kuchelewa ni kuendelea kuongeza gharama ya ujenzi mpya wa Taifa. Kwa kadiri siku zinavyoenda ndivyo mamilioni ya Watanzania wanazidi kuungana na watoto wao.

Wito wangu naurudia. POLISI wekeni silaha chini, Tume ya Uchaguzi isilazimishe kumrudisha Samia (atawatawala maiti sasa na atawatazamaje tena Watanzania) na Jeshi lisipuuzie sauti za hiki kizazi.

Historia inaandikwa na viongozi wote wajue na kuchagua wanataka waandikwe upande upi wa historia.
 
Kama pamoja na nguvu kubwa inayotumika kuwatisha wananchi bado wananchi wanatoka kila kukicha maana yake ni kuwa risasi hazijawavunja mioyo.

Nakumbuka maneno ya mwandamanaji mmoja miaka ile kule Morogoro..

"Polisi wanajifunza kuua na sisi tunajifunza kufa". Watanzania sasa wamehitimu.

Hawawezi kutawaliwa tena kibabe...hawawezi kufanyiwa kibabe...kuendelea kuchelewa ni kuendelea kuongeza gharama ya ujenzi mpya wa Taifa. Kwa kadiri siku zinavyoenda ndivyo mamilioni ya Watanzania wanazidi kuungana na watoto wao.

Wito wangu naurudia. POLISI wekeni silaha chini, Tume ya Uchaguzi isilazimishe kumrudisha Samia (atawatawala maiti sasa na atawatazamaje tena Watanzania) na Jeshi lisipuuzie sauti za hiki kizazi.

Historia inaandikwa na viongozi wote wajue na kuchagua wanataka waandikwe upande upi wa historia.
Sasahivi Polisi wamesanda.

JWTZ wamewazuia kuwapiga au kuwaua wananchi. Wanaoua Wananchi sasa ni askari wa kukodi walioletwa na CCM na Abdul na mamayake kutoka Uganda na Burundi

Tupo pazuri sana. Tukikamilisha hii kazi pamoja na Samia na genge lake ila Mkurugenzi wa TCRA na Museven na mwanae lazima tuwashughulikie.

Tena huyu wa TCRA na watumishi wake watafute kabisa nchi ya kwensa kabla ya jumapili
 
Kama pamoja na nguvu kubwa inayotumika kuwatisha wananchi bado wananchi wanatoka kila kukicha maana yake ni kuwa risasi hazijawavunja mioyo.

Nakumbuka maneno ya mwandamanaji mmoja miaka ile kule Morogoro..

"Polisi wanajifunza kuua na sisi tunajifunza kufa". Watanzania sasa wamehitimu.

Hawawezi kutawaliwa tena kibabe...hawawezi kufanyiwa kibabe...kuendelea kuchelewa ni kuendelea kuongeza gharama ya ujenzi mpya wa Taifa. Kwa kadiri siku zinavyoenda ndivyo mamilioni ya Watanzania wanazidi kuungana na watoto wao.

Wito wangu naurudia. POLISI wekeni silaha chini, Tume ya Uchaguzi isilazimishe kumrudisha Samia (atawatawala maiti sasa na atawatazamaje tena Watanzania) na Jeshi lisipuuzie sauti za hiki kizazi.

Historia inaandikwa na viongozi wote wajue na kuchagua wanataka waandikwe upande upi wa historia.

..Tundu Lissu alimshauri Mama Samia asogeze uchaguzi mbele, na afanye mabadiliko yatakayoiweka nchi pamoja hakumsikiliza.
 
..Tundu Lissu alimshauri Mama Samia asogeze uchaguzi mbele, na afanye mabadiliko yatakayoiweka nchi pamoja hakumsikiliza.
Na sasa huyu mama anakipata alicho kitaka...huo usingizi ataupata wapi... kwa sasa yeye anaishi kama mfungwa zaidi ya wale alio wafunga kwa kesi za magumashi.... kwa hivyo ngoma droo... muda si mrefu na yeye watamnyonga kama anavyotaka kuwanyonga wenzake... maneno huumba kwa kweli ... unacho mtakia nwenzanko ndicho kinacho kurudia kwa style nyingine...
 
Kama pamoja na nguvu kubwa inayotumika kuwatisha wananchi bado wananchi wanatoka kila kukicha maana yake ni kuwa risasi hazijawavunja mioyo.

Nakumbuka maneno ya mwandamanaji mmoja miaka ile kule Morogoro..

"Polisi wanajifunza kuua na sisi tunajifunza kufa". Watanzania sasa wamehitimu.

Hawawezi kutawaliwa tena kibabe...hawawezi kufanyiwa kibabe...kuendelea kuchelewa ni kuendelea kuongeza gharama ya ujenzi mpya wa Taifa. Kwa kadiri siku zinavyoenda ndivyo mamilioni ya Watanzania wanazidi kuungana na watoto wao.

Wito wangu naurudia. POLISI wekeni silaha chini, Tume ya Uchaguzi isilazimishe kumrudisha Samia (atawatawala maiti sasa na atawatazamaje tena Watanzania) na Jeshi lisipuuzie sauti za hiki kizazi.

Historia inaandikwa na viongozi wote wajue na kuchagua wanataka waandikwe upande upi wa historia.

Kuna online TV ya Kenya kuna mtu anadai kuwa Katiba yetu inasema kama hakuna utulivu baada ya siku tatu Jeshi linatakiwa kuchukua madaraka. Wajuaji wa Katiba tufafanulieni hapa kama ni kweli? cc. Pascal Mayalla
 
Kuna online TV ya Kenya kuna mtu anadai kuwa Katiba yetu inasema kama hakuna utulivu baada ya siku tatu Jeshi linatakiwa kuchukua madaraka. Wajuaji wa Katiba tufafanulieni hapa kama ni kweli? cc. Pascal Mayalla
Naam mjuvi wa katiba niko hapa. Ni ibara ya 17 mkwaju A point 10.

Maaamae si walituita nyumbu na wavuta bangi Maaamae nchi tumeichukua.
 
Kama pamoja na nguvu kubwa inayotumika kuwatisha wananchi bado wananchi wanatoka kila kukicha maana yake ni kuwa risasi hazijawavunja mioyo.

Nakumbuka maneno ya mwandamanaji mmoja miaka ile kule Morogoro..

"Polisi wanajifunza kuua na sisi tunajifunza kufa". Watanzania sasa wamehitimu.

Hawawezi kutawaliwa tena kibabe...hawawezi kufanyiwa kibabe...kuendelea kuchelewa ni kuendelea kuongeza gharama ya ujenzi mpya wa Taifa. Kwa kadiri siku zinavyoenda ndivyo mamilioni ya Watanzania wanazidi kuungana na watoto wao.

Wito wangu naurudia. POLISI wekeni silaha chini, Tume ya Uchaguzi isilazimishe kumrudisha Samia (atawatawala maiti sasa na atawatazamaje tena Watanzania) na Jeshi lisipuuzie sauti za hiki kizazi.

Historia inaandikwa na viongozi wote wajue na kuchagua wanataka waandikwe upande upi wa historia.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hivi kuna mtu anaweza kufikiria yaani mambo yamaweza kuzimika tu na kila mtu anarudi nyumbani tu...
Inawezekana japo yafaa kuambatana na maamuzi mazito

1. Uchaguzi ufutwe

2. CCM wastep down kwa maana ya serikali iwe mikononi mwa Jeshi kwa maana ya kuundwa serikali ya mpito ya watu wasiyo na makandikando mengi ambao watasimamiwa na jeshi.

3. Waliyotekwa wote warejeshwe tena wakiwa salama na ikiwa waliwaua wanyooshe maelezo na waliyohusika wachukuliwe hatua .

4. Waliyoshikiliwa kwenye vituo vya police kwa makosa ya kisiasa waachiwe bila masherti.

5. Family za wahanga wote zipate fidia (mkono wa pole)

Kwakuanzia inaweza kusaidia kusababisha kutuliza hasira na watu wakasogeleana mezani.
 
Sioni namna gani tutarudi tulikokuwa isipokuwa kwa mabavu...bila kukubali kilichotokea na kutafuta uhalali wa kwali itabidi watendaji wote wa serikali wishing kwa mabavu...
 
Wito wangu naurudia. Tume ya Uchaguzi isilazimishe kumrudisha Samia,

Historia inaandikwa na viongozi wote wajue na kuchagua wanataka waandikwe upande upi wa historia.
Maadam Tume imeisha mtangaza, akiisha apishwa kukalinda kale kakitabu tuu, ni rais wa JMT, no one can do anything, except YEYE!.
Hivyo sasa atatawala kwa mkono wa chuma!.
Hivyo hakutakuwa nywinyi, wala nywinywini!.
P
 
Back
Top Bottom