Kadoda nguku
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 332
- 475
Katika harakati za upatikanaji wa wabunge na madiwani wapo wagombea walio cheza rafu za wazi kabisa, yaani huhitaji hata VAR ili kujiridhisha na rafu za baadhi ya wagombea.
Wapo wagombea wengi walioshika namba 1 hadi 5 wanahitaji umakini zaidi katika kuwateua, hao ndio walipiga wenzao buti za kufa mtu
Kama vyombo vya uchunguzi vitafanya kazi zao kwa weledi hakika chaguzi zijazo za ndani ya chama hakutakuwa na punje ya Rushwa, lakini vyombo hivyo vya uchunguzi kama havikufanya kazi yake kwa umakini rushwa ndani ya CCM haiwezi kwisha
Njia pekee ni kuimarisha Vyombo vya Uchunguzi ndani ya chama, hii itasaidia kuondoa rushwa ndani ya chama.
Wako wagombea ambao waliwanunua viongozi wa chama wilaya na Mkoa, TAKUKURU na wafanyakazi wa ofisi ya usalama wilaya ili wawabebe.
Vitendo kama hivyo vimewafanya wanachama kusubiri maamuzi ya vikao vya juu ili kuona kama kweli yanayosemwa na viongozi wa juu wa chama yatatekelezwa.
Siwezi weka hapa majina hayo ya walioshinda na wasioshinda ambao walifanya madudu, ila kama members watataka nitaweka na madudu yao. Au kama wapo members wengine wanaofahamu madudu yaliyofanyika unaweza weka mgombea na madudu yake, kwa sababu JF ni jukwaa la wazi. Na hii itasaidia hata chama katika kufanya maamuzi.
Wapo wagombea wengi walioshika namba 1 hadi 5 wanahitaji umakini zaidi katika kuwateua, hao ndio walipiga wenzao buti za kufa mtu
Kama vyombo vya uchunguzi vitafanya kazi zao kwa weledi hakika chaguzi zijazo za ndani ya chama hakutakuwa na punje ya Rushwa, lakini vyombo hivyo vya uchunguzi kama havikufanya kazi yake kwa umakini rushwa ndani ya CCM haiwezi kwisha
Njia pekee ni kuimarisha Vyombo vya Uchunguzi ndani ya chama, hii itasaidia kuondoa rushwa ndani ya chama.
Wako wagombea ambao waliwanunua viongozi wa chama wilaya na Mkoa, TAKUKURU na wafanyakazi wa ofisi ya usalama wilaya ili wawabebe.
Vitendo kama hivyo vimewafanya wanachama kusubiri maamuzi ya vikao vya juu ili kuona kama kweli yanayosemwa na viongozi wa juu wa chama yatatekelezwa.
Siwezi weka hapa majina hayo ya walioshinda na wasioshinda ambao walifanya madudu, ila kama members watataka nitaweka na madudu yao. Au kama wapo members wengine wanaofahamu madudu yaliyofanyika unaweza weka mgombea na madudu yake, kwa sababu JF ni jukwaa la wazi. Na hii itasaidia hata chama katika kufanya maamuzi.