janken mbisso
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 248
- 71
Chama cha Mapinduzi hakina dhamira ya kwel ktk kuhakikisha watanzania tunapata katiba mpya na iliyotungwa kulingana na mahtaji ya watanzania wenyewe.Kimejipanga kuchakachua maoni ya wapenda mabadiliko kwa hofu ya kupoteza madaraka 2015.
Hayo yamebainika wakati wa mchakato huu wa kuwachagua wajumbe wa mabaraza ya katiba katka kata mbali mbali.Wenyeviti wa mitaa na vitongoji/vijiji wamepewa maelekezo toka CCM kuhakikisha wote wanaopitishwa ni wanaCCM waaminifu pekee,wasiruhusu mtu wa CHADEMA kupita.
Wanafanya kwa maagzo toka juu lengo likiwa kupata uhuru wa kupitsha mambo wanayoyataka pia kupindisha wasioyataka.Haya yamedhitishwa na mwenyekiti wa UVCCM kutoka ktk wilaya moja Nyanda za Juu.Vikao vimekuwa vikifanyika.
Hayo yamebainika wakati wa mchakato huu wa kuwachagua wajumbe wa mabaraza ya katiba katka kata mbali mbali.Wenyeviti wa mitaa na vitongoji/vijiji wamepewa maelekezo toka CCM kuhakikisha wote wanaopitishwa ni wanaCCM waaminifu pekee,wasiruhusu mtu wa CHADEMA kupita.
Wanafanya kwa maagzo toka juu lengo likiwa kupata uhuru wa kupitsha mambo wanayoyataka pia kupindisha wasioyataka.Haya yamedhitishwa na mwenyekiti wa UVCCM kutoka ktk wilaya moja Nyanda za Juu.Vikao vimekuwa vikifanyika.