Mi hua naingia kujadili hoja. Ila tatizo la hili jukwaa linajadili watu zaidi, na sometimes hata kujadili members. Inakatisha tamaa.Mwali leo umefika huku?
Lakini hofu ya kuchakachuliwa katiba mpya ipo na ni kweli hawa watu wanaweza na wamejipanga kufanya hivyo, kwa sababu wao katika maisha yao yote hawakuwahi kuwa na wazo la kuleta katiba mpya, hasa yenye kubeba mahitaji ya wananchi, hawa jamaa kweli wamejipanga kuchakachua, na mchakato ulikwa WRONG since from the beginning, KUMRUHUSU RAIS KUUNDA TUME YA KURATIBU MAONI YA WANANCHI, lilikuwa KOSA KUBWA SANA!!!!
Jamani draft haijatoka nyinyi mlishaanza kuiponda project ya Katiba
Watu wengine mnapenda ugonvi, mazingira ya amani ni tabu sana kwenu.
Umeandika vitu gani hapo?Huku moro ha2kuruhucwa hata kuwepo eti wana2pigia kura wa2 hawa2jui wala ha2jajieza kwao
Chama cha Mapinduzi hakina dhamira ya kwel ktk kuhakikisha watanzania tunapata katiba mpya na iliyotungwa kulingana na mahtaji ya watanzania wenyewe.Kimejipanga kuchakachua maoni ya wapenda mabadiliko kwa hofu ya kupoteza madaraka 2015.
Hayo yamebainika wakati wa mchakato huu wa kuwachagua wajumbe wa mabaraza ya katiba katka kata mbali mbali.Wenyeviti wa mitaa na vitongoji/vijiji wamepewa maelekezo toka CCM kuhakikisha wote wanaopitishwa ni wanaCCM waaminifu pekee,wasiruhusu mtu wa CHADEMA kupita.
Wanafanya kwa maagzo toka juu lengo likiwa kupata uhuru wa kupitsha mambo wanayoyataka pia kupindisha wasioyataka.Haya yamedhitishwa na mwenyekiti wa UVCCM kutoka ktk wilaya moja Nyanda za Juu.Vikao vimekuwa vikifanyika.