CHADEMA
Political Party
- Apr 13, 2013
- 495
- 2,539
Baada ya M/Kiti wa CCM Taifa Kuwaagiza WanaCCM wenzake kuwa wasiwe Wanyonge kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kalenga, Hatimaye Vijana wa Chama hicho wameanza kuonyesha nguvu na ukatili wao kwa kumchoma kisu cha Mbavu Ndugu Richard ambaye ni M/Kiti wa Tawi la CHADEMA la Kijiji cha Tagamenda siku moja tu baada ya Mama Mzazi wa Kijana huyo ambaye alikuwa Mjumbe wa Serikali ya Kijiji hicho kwa tiketi ya CCM kuamua kuhamia CHADEMA kwa madai ya kuchoshwa na siasa zisizokuwa na mwelekeo za Chama hicho
Tukio hili ni muedelezo wa matukio mengine kadhaa ambayo CCM wamekuwa wakiyafanya kwenye Kampeni hizi ambapo siku mbili zilizopita walimteka Paroko wa Chuo cha mission cha Katoliki kilichopo eneo la Tosamaganga kwa madai kuwa ni MwanaCHADEMA.
HATUTAACHA HALI HII IENDELEE
Pichani ni Daktari akiwa amezamisha kidole chake kwenye jeraha la Ndugu Richard wakati alipokuwa akimsafisha kidonda baada ya tukio hilo.
Tukio hili ni muedelezo wa matukio mengine kadhaa ambayo CCM wamekuwa wakiyafanya kwenye Kampeni hizi ambapo siku mbili zilizopita walimteka Paroko wa Chuo cha mission cha Katoliki kilichopo eneo la Tosamaganga kwa madai kuwa ni MwanaCHADEMA.
HATUTAACHA HALI HII IENDELEE
Pichani ni Daktari akiwa amezamisha kidole chake kwenye jeraha la Ndugu Richard wakati alipokuwa akimsafisha kidonda baada ya tukio hilo.