KayScarpetta
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,251
- 776
He! Leo hii mmeanza kumkubali huyo Mlinga? Kwa nini sasa hamkumuelewa wakati ule?
"Give credit where credit is due"
Inaonyesha hauko familiar na hii dhana.
He! Leo hii mmeanza kumkubali huyo Mlinga? Kwa nini sasa hamkumuelewa wakati ule?
lakini ni wa chama dola!Nilijua amechangia anayejielewa kumbe huyo wa sanamu ya Diamond!
hajalipa.peleka hoja binafsi bungeni.Hivi Mbowe lile deni la Bilicanas ameshalilipa?
Pengine vyombo vya usalama kwa kudhibiti Amani na kujiweka tayari kukabiliana na hali yoyote.Kwahiyo unasema ccm salichukua hela wakatumia kwenye uchaguzi mkuu maana walikuwa wamezidiwa?
hahahaaaa! yuko familiar na dhana ya kusifia kila kitu kinachofanywa na sirikali hata kiwe cha hovyo."Give credit where credit is due"
Inaonyesha hauko familiar na hii dhana.
Wewe unalipaje kodi wakat hakuna wanunuzi.Sidhani ukawa wanashabiki wafanyabiashara wasilipe kodi
awamu iliyopita wataalamu walishauli watu wasilipe kodiUchumi haukui kwa ukali wa mtu ila taaluma husika.
Ya ngoswe aachiwe ngoswe, mtu mmoja hawezi kila kitu.
Uliwahi kuona wapi wafanyabiashara wanapitisha mizigo yao bure bandarini? Tena ishia hapo hapo maana nahisi wewe sio mtanzania.MIE NADHANI WATU WASHAURI NINI KIFANYIKE AMBACHO NI PRACTICAL. MIMI KWA NIABA YA WANAUKAWA NINIAPENDEKA MH RAIS AFANYE KAMA KIKWETE YA KUWAACHIA WAFANYA BIASHARA WAPITISHE MIZIGO BANDALINI BILA KULPIA USHAURU..KWANI HILI LITASAIDIA MIZIGO MINGI KUPITA LAKINI WAKATU HUOHUO SISI WENYE BIAHSRA YA MALORI NA MENGINEO IPITE KILAHISI HIVYO KUCHANGAMSHA UCHUMI.NINAELEWA HATUA HII ITAPUNGUZA UWEZO WA SERIKALI KIFEDHA LAKINI AKINAFANYA HATA SISI UKAWA TUTAACHA KUMSHAMBULIA
Kidooogo umeonesha tuanzie wapi...tuendelee kudadafua namna hii tutapata suluhisho...Hivi ni nani ambaye ameshabikia ukwepaji kodi? Hili ndio tatizo letu siku hizi. Mtu akikosoa jinsi mambo yalivyo sasa anaitwa mkwepa kodi...au fisadi...au vyote viwili. Tunachosema ni hiki:
1. Ondoa vat kwenye mizigo ya transit. Hakuna bandari duniani (ninayojua) ambayo inafanya ujinga huo. Matokeo yake imekua ghali zaidi kwa wafanyabiashara kupitisha cargo yao dar. Kumbuka wafanyabiashara hao wanaenda kulipa kodi kwenye nchi zao. Sasa TRA wanasema eti hawatozi mizigo...wanatoza ancillary services...lakini hao wanaotoa hizo services wanachofanya ni kuongeza bei zao...so shida iko pale pale.
2. Ushuru wa forodha kwa mizigo ya ndani uangaliwe upya. Kwa mfano.. mimi gari yangu nilinunua kwa $8000 CIF. Ikafika hapa TRA wakanichapa kodi ya $10000. Yani kodi inazidi thamani ya gari. Ukowapi usawa hapa?
Tukisharekebisha hayo. Sasa tuhimize watu walipe hizo kodi...na watalipa tu!
Usilipe sasa uoneWe
Wewe mpuuzi na ****** unalipaje kodi wakat hakuna wanunuzi.
Mtu akijipaka kinyesi unataka asifiwe!! Mtu ataeleweka akiondoa kinyesi kwa kuoga, kujipaka marashi na kuvaa vizuri.He! Leo hii mmeanza kumkubali huyo Mlinga? Kwa nini sasa hamkumuelewa wakati ule?
KAka Tatizo sio wana CHADEMA tuu..Mlinga ni Mbunge wa CCM yetu..halafu kwa pale Bandari kama umemsikiliza Mkurugenzi wa Bandari na Kamati ya Bunge ya Mwenyekiti Dr. P Kafumo (CCM) kuwa mizigo inapungua kutokana na kuongezeka kwa charges mbalimbali za mizigo mathalani..container la futi 40'" kwa 40" limeongezeka ushuru kutoka 20ml mpaka 30ml. Yaani 10 million differences imewakimbiza waleta mizigo maana haina faida. Pia charges mbalimbali za kutransit mizigo. Hivyo issue pale sio kukwepa ushuru bali kuongezeka ushuru. NAdhani washauri na wewe hao wazee wetu wapunguze tariff ili kuongeza makusanyo. Tafadhali tusiwalaumu wenzetu wa Upinzani na sisi tunakosea sana tu sema ndio hivyo tena...MIE NADHANI WATU WASHAURI NINI KIFANYIKE AMBACHO NI PRACTICAL. MIMI KWA NIABA YA WANAUKAWA NINIAPENDEKA MH RAIS AFANYE KAMA KIKWETE YA KUWAACHIA WAFANYA BIASHARA WAPITISHE MIZIGO BANDALINI BILA KULPIA USHAURU..KWANI HILI LITASAIDIA MIZIGO MINGI KUPITA LAKINI WAKATU HUOHUO SISI WENYE BIAHSRA YA MALORI NA MENGINEO IPITE KILAHISI HIVYO KUCHANGAMSHA UCHUMI.NINAELEWA HATUA HII ITAPUNGUZA UWEZO WA SERIKALI KIFEDHA LAKINI AKINAFANYA HATA SISI UKAWA TUTAACHA KUMSHAMBULIA
KAka Tatizo sio wana CHADEMA tuu..Mlinga ni Mbunge wa CCM yetu..halafu kwa pale Bandari kama umemsikiliza Mkurugenzi wa Bandari na Kamati ya Bunge ya Mwenyekiti Dr. P Kafumo (CCM) kuwa mizigo inapungua kutokana na kuongezeka kwa charges mbalimbali za mizigo mathalani..container la futi 40'" kwa 40" limeongezeka ushuru kutoka 20ml mpaka 30ml. Yaani 10 million differences imewakimbiza waleta mizigo maana haina faida. Pia charges mbalimbali za kutransit mizigo. Hivyo issue pale sio kukwepa ushuru bali kuongezeka ushuru. NAdhani washauri na wewe hao wazee wetu wapunguze tariff ili kuongeza makusanyo. Tafadhali tusiwalaumu wenzetu wa Upinzani na sisi tunakosea sana tu sema ndio hivyo tena...