CCM waanza kumgeuka Rais Magufuli

CCM waanza kumgeuka Rais Magufuli

Nikisoma comment zako huwa nacheeka! JF imeingiliwa miaka hii! Hivi unakua uko serious? Umevaa nguo zako afu unaandika vitu unavyofikili ni point kuiwasilisha kwenye jamii?

Ulisomaga kweli mkuu? Hapa JF nadhani hoja ndio bora kuliko vioja! Sijui kama utaelewa!
Mbowe ameshindwa kulipa kodi billicanas na kufukuziliwa mbali kwa sababu uchumi mgumu.


Hata hili ufipa hamuelewi??
 
Mbowe ameshindwa kulipa kodi billicanas na kufukuziliwa mbali kwa sababu uchumi mgumu.


Hata hili ufipa hamuelewi??
Sasa kwani Mbowe siyo Mtanzania? Meanza kumbuka maana mlianza kusema ameuza chama
 
Wabunge wa ccm hawaaminiki hata kidogo, wakiitwa kama kamati ya chama wote wanageuka na kuwa kondoo
anaulizwa swali moja tu, unataka kuendelea kuwa mbunge au hutaki. Akitoka hapo mikono nyuma, akiingia tena bungeni anapiga meza kusupport kila kitakochosemwa na wenzao mpaka mikono inatoka malenge lenge lakini moyoni anapinga. Na hii ndo Tz yetu pendwa.
 
Hutakiwi kumkubali au kumkataa mtu bali inabidi ukubali au kukataa hoja zake. Kumkubali au kumkataa mtu bila ya kujali anasema au kutenda nini ni ujinga na pia ni utumwa.

JPM akifanya mazuri apongezwe na akiharibu aambiwe, ashauriwe na akamewe pia. Wala usiwe zuzu wa kumpinga au kumpongeza JPM wakati wote bila ya kujali analolifanya ni baya au zuri.

He! Leo hii mmeanza kumkubali huyo Mlinga? Kwa nini sasa hamkumuelewa wakati ule?
 
Kwani bandarini mizigo imepungua kwasababu ya kuongezeka kwa kodi au kwakua mizigo ilikuwa inapita bure!!?
Na je ni kweli biashara zimekufa au mizigo inapitishiwa kwenye bandari za nchi nyingine!?
Bila kujua kiini cha tatizo hatutaweza kulitatua kamwe
 
Mbunge wa sisiemu anschoweza kusema bila kudanganya ni jina lake na salamu tu.Mambo mengine atakayosema bungeni yanategemea party coccus inaelekezaje.
 
Eti Mlingwa anaungana na Mamilioni ya watanzania wanaolia maisha ni magumu...tehteh

Habari zinginge za kupika zinachekesha sana.
 
MIE NADHANI WATU WASHAURI NINI KIFANYIKE AMBACHO NI PRACTICAL. MIMI KWA NIABA YA WANAUKAWA NINIAPENDEKA MH RAIS AFANYE KAMA KIKWETE YA KUWAACHIA WAFANYA BIASHARA WAPITISHE MIZIGO BANDALINI BILA KULPIA USHAURU..KWANI HILI LITASAIDIA MIZIGO MINGI KUPITA LAKINI WAKATU HUOHUO SISI WENYE BIAHSRA YA MALORI NA MENGINEO IPITE KILAHISI HIVYO KUCHANGAMSHA UCHUMI.NINAELEWA HATUA HII ITAPUNGUZA UWEZO WA SERIKALI KIFEDHA LAKINI AKINAFANYA HATA SISI UKAWA TUTAACHA KUMSHAMBULIA
Yaani hapo unahisi umejificha kabisaaa? Hilo gamba lako la kijani la Lumumba na hayo unayoongea vinaendana haswa. Endelea tu.
 
Wabunge wa ccm hawaaminiki hata kidogo, wakiitwa kama kamati ya chama wote wanageuka na kuwa kondoo
Hao wa kwenu wanarukaga kauli ya.....................?huoni majuzu kawaamuru wasihudhirie vikao na wakatekeleza,tena wakipigwa na njaa kwa kukosa posho?
 
Nikisoma comment zako huwa nacheeka! JF imeingiliwa miaka hii! Hivi unakua uko serious? Umevaa nguo zako afu unaandika vitu unavyofikili ni point kuiwasilisha kwenye jamii?

Ulisomaga kweli mkuu? Hapa JF nadhani hoja ndio bora kuliko vioja! Sijui kama utaelewa!
Mkuu, siyo kosa lake huyo. Achana naye.
 
MIE NADHANI WATU WASHAURI NINI KIFANYIKE AMBACHO NI PRACTICAL. MIMI KWA NIABA YA WANAUKAWA NINIAPENDEKA MH RAIS AFANYE KAMA KIKWETE YA KUWAACHIA WAFANYA BIASHARA WAPITISHE MIZIGO BANDALINI BILA KULPIA USHAURU..KWANI HILI LITASAIDIA MIZIGO MINGI KUPITA LAKINI WAKATU HUOHUO SISI WENYE BIAHSRA YA MALORI NA MENGINEO IPITE KILAHISI HIVYO KUCHANGAMSHA UCHUMI.NINAELEWA HATUA HII ITAPUNGUZA UWEZO WA SERIKALI KIFEDHA LAKINI AKINAFANYA HATA SISI UKAWA TUTAACHA KUMSHAMBULIA
MKUU KWANI JK ALIKUFANYA NINI; HADI UNAKUWA NA CHUKI NAYE KIASI HIKI? UNAUHAKIKA MIZIGO ILIKUWA INAPITA BILA KULIPIWA?
 
Back
Top Bottom