CCM waanza kuiga kudeki barabara!

CCM waanza kuiga kudeki barabara!

Kuishabikia ccm yahitaji ujitoe akili
 
Hiyo inaonyesha hata ubunifu hawana na hawafai kuongoza nchi. Maana ni wale wale na mambo ni yale yale!
 
Siku chache zilizopita, katika mkutano wake mmoja kanda ya Ziwa, mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, mama Samia Suluhu alisema, "Ni utumwa kupiga deki barabara ili mtu apite, CCM sisi ni watumishi wenu, hatuko tayari kuona watu wakipiga deki barabara, ili tupite." Kumbe ilikuwa maneno ya sungura, "zabibu mbichi", kwa sababu ameshindwa kuzipata! Mama Samia, na hawa watu wenu wa CCM wanaodeki hapa, ni watumwa? Na wale mliowasimamia kudeki barabara za Dar ili Obama apite, nao walikuwa watumwa????? Matusi yenu yatawagharimu 25.10.15!
 
Kuishabikia ccm yahitaji ujitoe akili

.........kama akili ya kuwapa ex ccm kuongoza ukawa nyie wenyewe mnachezea map'mbu ! :A S 41: TAWA
 
Last edited by a moderator:
Ngoja tuanze KUWA NA MUWA...

Tuone CCM wana RAMBOOOO...!!!

UKAWA wana Muwaaaa...!!!

CCM mna Ramboooo...!!?

Kazi kukopi na ku paste tu...!!!
 
Siku chache zilizopita, katika mkutano wake mmoja kanda ya Ziwa, mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, mama Samia Suluhu alisema, "Ni utumwa kupiga deki barabara ili mtu apite, CCM sisi ni watumishi wenu, hatuko tayari kuona watu wakipiga deki barabara, ili tupite." Kumbe ilikuwa maneno ya sungura, "zabibu mbichi", kwa sababu ameshindwa kuzipata! Mama Samia, na hawa watu wenu wa CCM wanaodeki hapa, ni watumwa? Na wale mliowasimamia kudeki barabara za Dar ili Obama apite, nao walikuwa watumwa????? Matusi yenu yatawagharimu 25.10.15!
Naichukia ccm kwa dhati. Sendeka linafiki. Wao wanaiga kila kitu. Magufuli anadesa sana nina wasi wasi na hizo degree zake.
 
Waliiga mafuriko, tukawaacha.wakaiga sera za mabadilikotukawaacha. Wakaiga nembo! Logo ya M4C tukakausha sasa wameiga kudeki barabara! Unajuakinachofuata!? Ni kumtia mgombea wao ili afanane na Lowassa hahaaaahahaaaaaaaa!

View attachment 299790



Ma CCM hovyo sanaaa....cheki hii..they are copying & pasting..!! Damn..😨😨😨
 

Attachments

  • IMG-20150827-WA0023.jpg
    IMG-20150827-WA0023.jpg
    23.7 KB · Views: 124
maccm sio mabunifu kabisa yanaiga ukawa loooo aibu kweliiiiii

Hawa jamaa kweli ni wa ajabu; wakiona bendera zimewekwa kesho yake wanakuja na fuso zima la bendera. Wakiona m4c wanasema yetu, jamaa akisema naondoa maushuru nao hao wanaondoa maushru. Huyu Februari marop ni shiiiida kazi kuibia hadi mitihani.
 
Back
Top Bottom