Sikutegemea kabisa MTU kama Ole Sendeka ANGEKURUPUKA KAMA MAGUFULI kuwa eti Vijana Wa musoma walideki Barabara walilipwa Na Lowassa kwa kuwa no Masikini.Kwanza Ole Sendeka ulipaswa ujue UMASIKINI WA WATANZANIA NI UONGOZI MBOVU WA CCM KWA MIAKA 38 UONGOZI ULIOJAA RUSHWA NA UFISADI WA KUTISHA.Haya tueleze hao vijana wenye T'shit za NJANO in Matajiri? Na WAMELIPWA NA LOWASSA? Mkuu acha KUROPOKA hao nao ni MASIKINI WEWE NA CCM YAKO NDIO MMEWATIA UMASIKINI
Kama siyo Mama Spika..Prof Muhongo alikuwa anaweka hadharani matokeo ya Mh.Ole sendeka......duuuh ingekuwaje sijui.
mbona hawaji na ubunifu wao???????????
Waliiga mafuriko, tukawaacha.wakaiga sera za mabadilikotukawaacha. Wakaiga nembo! Logo ya M4C tukakausha sasa wameiga kudeki barabara! Unajuakinachofuata!? Ni kumtia mgombea wao ili afanane na Lowassa hahaaaahahaaaaaaaa!
View attachment 299790
hahahahaha hahahaha lol kazi wanayo hawa fisiem
Hahahahaha kazi kweli kweli dooh..