Kifo Cha MWENYE HAKI mmoja kina thamani kuliko miaka 100 ya MWOVU na MWOGA. AmenKada wa CCM maarufu visiwani Zanzibar baada ya clip yake akimpa za uso Mwehishimiwa wa Uchumi wa Blue hivi karibuni, Inasemakana kuwa majuzi alitekwa na watu wasio juulikana, na hivi sasa yupo Hospitali kaiwa na hali mbaya sana baada ya kipigo kizito.
Makundi hayo hayajaisha, ilionekana ktk maono, hao wanaowekwa pembeni ghafula wanajikusanya Kwa siri.Ndugu Rabbon ,sisi tunaoishi Dodoma na kuwa karibu na hawa jamaa wa CCM, ukiwa nao kijamaa wanaonyesha kabisa kuchoshwa na nchi inavyoendeshwa,tatizo linakuja ni nani wa kuwasha kiberiti na kutupia njiti kwenye petroli!!?
Amin amin nakwambia andunje wa kule kwenye karanga alikuwa na wengi waliokuwa wanamuunga mkono kimyakimya,sema kwa kile kilichotokea ikabidi wawe wapole.
Hakika downfall ya CCM ipo karibu sana kuliko watu wanavyofikiria.
Hii Tanzania,acha kuleta uzunguNdiyo dictatorship yenyewe hiyo. Huyo mzee ameeleza tu kutokuridhika kwake na uongozi wa Rais wake. Ni haki yake; hajatukana mtu yeyote. Vyama vya siasa inabidi viache huo upumbavu uliopitwa na muda!
Mbona viongozi wa mataifa makubwa na yenye nguvu wanasemwa na wanachama wa vyama vyao kila uchao, lakini wanachama hawafukuzwi chama? Juzi juzi hukuona Boris Johnson amekuwa subjected to vote of no confidence na wabunge wa chama chake mwenyewe?
Hata hapo Kenya tu, angalau uhuru wa kutoa maoni upoNdiyo dictatorship yenyewe hiyo. Huyo mzee ameeleza tu kutokuridhika kwake na uongozi wa Rais wake. Ni haki yake; hajatukana mtu yeyote. Vyama vya siasa inabidi viache huo upumbavu uliopitwa na muda!
Mbona viongozi wa mataifa makubwa na yenye nguvu wanasemwa na wanachama wa vyama vyao kila uchao, lakini wanachama hawafukuzwi chama? Juzi juzi hukuona Boris Johnson amekuwa subjected to vote of no confidence na wabunge wa chama chake mwenyewe?
Mzee alikuwa na hoja lakini wamemfanyia uhuni walipaswa kumjibu kwa hojaKada wa CCM maarufu visiwani Zanzibar baada ya clip yake akimpa za uso Mwehishimiwa wa Uchumi wa Blue hivi karibuni, Inasemakana kuwa majuzi alitekwa na watu wasio juulikana, na hivi sasa yupo Hospitali kaiwa na hali mbaya sana baada ya kipigo kizito.
Wamegeukana au wamedhulumianaCCM ni janga .
miaka mitano iishe tu tuweke mtu mwingine.....Huyu Baraka 🙌🙌🙌Kada wa CCM maarufu visiwani Zanzibar baada ya clip yake akimpa za uso Mwehishimiwa wa Uchumi wa Blue hivi karibuni, Inasemakana kuwa majuzi alitekwa na watu wasio juulikana, na hivi sasa yupo Hospitali kaiwa na hali mbaya sana baada ya kipigo kizito.
Watajijua wenyeweCCM huwa inabaka demokrasia ila kuelekea 2025 , hiyo familia ya ccm ina wakati mgumu
Itakuwa ndio inaanza hivyoo YqkheDamu itanena! In lema's voice!
Mzee amesema kitu ambacho wanancji wanajua.Kada wa CCM maarufu visiwani Zanzibar baada ya clip yake akimpa za uso Mwehishimiwa wa Uchumi wa Blue hivi karibuni, Inasemakana kuwa majuzi alitekwa na watu wasio juulikana, na hivi sasa yupo Hospitali kaiwa na hali mbaya sana baada ya kipigo kizito.
Hii Tanzania,acha kuleta uzungu
Freedom of speech ya kumtukana Rais? Mzee kaharibu historia na heshima yake uzeeni kabisa. Amefanya jambo la kusikitisha sana.Hii ni dictatorship. Hakuna freedom of speech hapo!
Nadhani tujifunze kusikiliza...Mie kwa mtizamo wangu huyu anasema vitu vinabyohitaji uchunguzi kwakua ametoa tuhuma, ila kwakua viongozi wetu hawakuzoea kuwa questioned basi ata fall victim.CCM waanza kuchapana visiwani, soon kasheshe hili litahamia Bara
Sidhani kama kamtukana, kamtuhumu, tutofautishe tuhuma na matusi. Watu kama ninyi ndiyo mnaharibu hatima za viongozi wetu. Hapa akikubali uchunguzi ufanywe nakisha akiwa hana hatia basi huyu baba atafunguliwa kesi ya defamation na huu ndiyo utawala bora. Lakini aki resort kwenye kunyamazisha na ku intimidate, basi itaonekana kuwa kuna kitu anaki cover ambacho kina uhalisia...This is a dot/ taint kwenye utawala wake na inaondoa imani kwa mtu kama mimi ambaye nina trust kubwa kwakeFreedom of speech ya kumtukana Rais? Mzee kaharibu historia na heshima yake uzeeni kabisa. Amefanya jambo la kusikitisha sana.