Malisa Godlisten
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 202
- 1,588
Mwakalebela hongera sana kwa "maelfu" ya watu waliojitokeza leo dhidi ya "mamia" waliojitokeza jana kwenye mkutano wa CHADEMA. Kidumu chama cha mapinduzi... hakika nimeamini chama chashika hatamu.!
Naon wameshindwa peleka watu na maroli kama wafanyavyo
hii aibu kubwa au walikuwa kwenye mkutano Wa tawi lao act...
kwani si wange kodi malori yasombe watu toka Ismani huko alau kukwepa aibu kama hii kwa ccmHio ndio Chadem . Chanel ten wameonyesha saizi hapa kupitia taarifa ya habari. Cdm noma. Tunakipenda sana hiki chama.
Mkuu ilikuwa ngumu kwa sababu wanafunzi wako mapumziko ya pasaka!! Hivyo maccm yakawa yamekwama!! Hata kuleta fisi ilishindikana!!RC & DC lazima chama changu kiwachukulie hatua Kali ikiwezekana hata kuwaamisha au kufukuza kabisa! Yaani wamekubali ccm ihaibike kiasi hiki!? Kwa nini hawakuwaleta wanafunzi wa shule zote hapo Iringa!? Walimu wote!? Hili jambo lazima mwenyekiti wetu Kikwete awachukulie hatua! Polisi kwa nini hawakwenda wote, waliovalia magwanda na wale wasio vaa!? Haiwezekani chama changu kiaibike kiasi hiki!?
hii ni aibu kubwa.hawa watu hawajifunzi tu?