CCM Tuwe Macho na Mbinu Mpya ya CHADEMA

CCM Tuwe Macho na Mbinu Mpya ya CHADEMA

CCM imejifunza kwenye uchaguzi wa 2010 haitorudia tena kuwapa nafasi ya kupumua hawa nguruwe, hata wabaki wawili kamaradi Kinana atakwenda nao sambamba hadi kura ya mwisho itakapo hesabiwa. Asante kwa angalizo zomba
 
Last edited by a moderator:
Tahadhari ni muhimu lakini sikubaliani na wewe kuamini kwamba mgogoro uliopo chadema ni wa kuchongwa ili kuwapumbaza ccm

Mgogoro ulipo chadema ni matokeo ya kukosekana kwa democras ndani ya chama, na hiyo ni nafasi kwa ccm kuitumia kujirudishia heshima yake na kuilegeza chadema kadiri watakavyoweza ili uchaguzi ujao uwe mwepesi zaidi ya ule wa 2010
 
Mwite na Nchemba;Kinana pamoja na mwenyekiti wenu

Wote wataipata hii habari, magwanda mmestukiwa! kumbe mnatuletea mchezo wa kuigiza.

Na waandishi wa habari waelezeni Watanzania kuhusu hili, waelewe kuwa wanafanywa wajinga na chadema.

kwi kwi kwi teh teh teh
 
Wote wataipata hii habari, magwanda mmestukiwa! kumbe mnatuletea mchezo wa kuigiza.

Na waandishi wa habari waelezeni Watanzania kuhusu hili, waelewe kuwa wanafanywa wajinga na chadema.

kwi kwi kwi teh teh teh

Tutawapa Zawadi yenu "Zitto Kabwe" subiri protocal zifuatwe.
 
Wote wataipata hii habari, magwanda mmestukiwa! kumbe mnatuletea mchezo wa kuigiza.

Na waandishi wa habari waelezeni Watanzania kuhusu hili, waelewe kuwa wanafanywa wajinga na chadema.

kwi kwi kwi teh teh teh

Nahisi kuna mtu ame'hack id yako.. huyu sio wewe, ninayekusoma(ga) humu!

easily captured.
 
Hili swala hata me nimekuwa nikitazama kwa muda mrefu sana.

Lakini najua kabisa hata kama kuna ugonvi wa kweli lazima cdm wanajua namna yakumfanya zitto asijishaue lakin magamba hawaoni haya maana kama issue ya usaliti kaanza nayo muda mrefu lakin walikaa kimya.


Pia mkuu kama haya ni kweli kutafanya zitto apewe promo sana na upande wa pili na cdm kuvuna bila garama yyt,hata kama kutakuwa na some impact
 
Back
Top Bottom