CCM Tuwe Macho na Mbinu Mpya ya CHADEMA

CCM Tuwe Macho na Mbinu Mpya ya CHADEMA

Hapo tumepatikana kwakweli na kama kujipanga hawa wamejipanga!natafakari majibu sipati kuna ulazima wa kujitathimini haraka aisee
 
Hizo ni hisia tu au mleta mada ni mtu wa zzk anajaribu kututeka great thinkers tuone CDM hamna mgogoro na zzk hana kosa ni mbinu za ushindi ili aendelee kuwemo ndani ya cdm afanye usaliti wake na kuyawezesha magamba kuzidi kutawala nchi.
 
napa raha ninapoona kila nikitembelea mitandao ya kijamii naona chadema!chadema!chadema
 
Chadema ni maarufu kuliko chama chochote Tanzania kwa sasa, hakuna mtanzania asiyeifahamu, watanzania wanajua mwenyekiti wake ni Mbowe na Katibu mkuu ni Dr. Slaa, wakati kwa upande wa ccm siyo hivyo wapo watanzania ambao wanaamini kuwa Rais wa Kwanza Mwl. Nyerere ndiye bado kiongozi wa Chama hicho
 
Hapo tumepatikana kwakweli na kama kujipanga hawa wamejipanga!natafakari majibu sipati kuna ulazima wa kujitathimini haraka aisee

isomwe na MANI zumbemkuu na wengineo, Huyu anayejiita Mpwa sijui Ana ugonjwa gani, hopefully you get the message behind
 
Last edited by a moderator:
Hivi haka katoto ketu kamewaonjesha nini nyinyi buku 7 mbona mnasumbuka nako sana?eti ZK,umewafanya nini hawa lumumba?yaani wamesahau ya kwao kutwa ni zk,zk,Chadema,Chadema,khaa!jamani mkaache katoto ketu kapumuwee,katakuja tena siku nyingine kuendelea kuwarusheni roho eeh,msiliee eeh!
 
Kwa mara ya kwanza nimeanza kuwaza hivyo......time will tell anyway.
 
isomwe na MANI zumbemkuu na wengineo, Huyu anayejiita Mpwa sijui Ana ugonjwa gani, hopefully you get the message behind

Mpwa naona watu wanaongeza id mpaka wanaishiwa majina
 
Last edited by a moderator:
Halafu nina taarifa njema kwenu,muda si mrefu tutakatimua kwenye chama ili kaje huko lumumba kugombea uenyekiti,au sivyo?mbona munanuna tena,si mumesema munakapenda?tumeamua tuwapeni jumla teh teh teh!
 
Halafu nina taarifa njema kwenu,muda si mrefu tutakatimua kwenye chama ili kaje huko lumumba kugombea uenyekiti,au sivyo?mbona munanuna tena,si mumesema munakapenda?tumeamua tuwapeni jumla teh teh teh!
Umeona yale ya mwandiga na kasulu? Kama mnataka kachama kenu kafe, basi thubutu kumtimua huyu jamaa
 
CCM kwa kushirikiana na MNCs mnajiona mnaweza kumnunua kila mtu, fedha mlizo mhonga kijana amezilamba kasha akagundua kuwa career yake inaweza ikawa mashakani...akarudi kwa wataalam wakampa mpango mkakati sasa uharo unawabana...msichokijua ni kuwa hadi mwenyekiti wenu huwa anapenda mageuzi ndo maana baadhi ya vitu anapitishia kwa wapinzani...
 
CCM kwa kushirikiana na MNCs mnajiona mnaweza kumnunua kila mtu, fedha mlizo mhonga kijana amezilamba kasha akagundua kuwa career yake inaweza ikawa mashakani...akarudi kwa wataalam wakampa mpango mkakati sasa uharo unawabana...msichokijua ni kuwa hadi mwenyekiti wenu huwa anapenda mageuzi ndo maana baadhi ya vitu anapitishia kwa wapinzani...

Tumeshawastukia na hii nyuzi tume-i- kopi na kuwatumia viongozi wote wa CCM.
 
Gud analysis.. na kuna kaukweli flani.. tujiulize, siku 14 zimeisha lakini kiimyaaa!!

Na kwanini haya yote yametokea kipindi karibu na uchaguzi mkuu, na ule wa serikali za mitaa.. Jibu ni rahisi, Zito aonekane amesamehewa arudi kwa kishindo azunguke nchi nzima kutangaza CDM.. Hivyo kila mtu ataielewa chadema.. Na itashinda kirahisi kila chaguzi. Zito atawambia tu wafuasi wake kwamba ugomvi umeisha chamani, tupge kazi, tuwaunge mkono viongozi wetu.

Hii ni very advanced technic inayotumiwa na chadema..
Wait and u'll see!

Hii ni mbinu nyingine ya CCM ya kutaka kibaraka wao abakizwe kwenye chama ili wazidi kumtumia. Maana wanaona akifukuzwa watakuwa wamefail mpango wao akibakizwa kwa propaganda hizi kwao ni kicheko. Dawa ni moja tu ZZk afukuzwe kama ni kweli jembe aanzishe chama chake ambapo atakiendesha kwa mfumo wa demokrasia anayoikosa Chadema. Hatujaambiwa kwamba daftri la kusajiri vyama vipya limejaa au limefungwa.
 
Back
Top Bottom