Albert Msando
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 1,019
- 171
Nadhani itafika mahali mawazo kama haya yataanza kutolewa! Ili kuondoa migomo mashuleni na sehemu nyingine utasikia 'tuchapishe noti nyingi tuwape walimu na wanafunzi'. Kuna siku nilimsikia aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Charles Keenja akijibu swali bungeni....Mh Waziri Serikali imechukua hatua gani kukabiliana na njaa mwaka huu'
Akajibu 'tumeagiza matrekta 12....tuna imani yatasaidia kilimo'. Kila mara namkumbuka Charles Keenja!!
Inawezekana kabisa pendekezo la kuprint noti nyingi likatolewa! Kwa viongozi wetu wa sasa haitakuwa ajabu!
Akajibu 'tumeagiza matrekta 12....tuna imani yatasaidia kilimo'. Kila mara namkumbuka Charles Keenja!!
Inawezekana kabisa pendekezo la kuprint noti nyingi likatolewa! Kwa viongozi wetu wa sasa haitakuwa ajabu!