CCM tumefikaje hapa tulipo?

Kwa maelezo ya jaji warioba ...na Butiku leo ni "mtandao" ulionzishwa mwaka 1995 na kuamua kuasi utaratibu wa chama na kua na chama ndani ya chama mpaka ulipokuja kufarakana kwa maslahi yao serikalini. .wametuasa ni kuwaogopa wana mtandao kama ukoma kwani wanavunja utaratibu hivyo sio rahisi kwenda kusimamia utaratibu pindi watapo kuwa madarakani..na ni rushwa rushwa rushwa
 
- So hii ndio sababu wewe unajua CCM imefikaje hapa? hahahahaha Seriously?

Le Mutuz

Hadi Kingunge analia mwee ccm ilikuwa enzi zilee za Nyerere akiwa hai yaani naamini angalikuwa hai hata huo utitiri wa kuwa na wagombea 40kwenye chama moja tusingeona ila inasikitisha Baba kaondoka na ccm yake.
 
Mawazo mazuri lkn ccm hawataki hata kuusikia
 
Jamani hivi huyu mtu mnayemtetea sana mbona naona kama ana Parkinson's disease,Muacheni Ngoyai apumzike jamani,ni mgonjwa.
Mawazo mazuri lkn ccm hawataki hata kuusikia
 
"Don't trust a woman even if she's naked" James Hadley Chase
 
William tatizo kubwa ni watu ambao wana nia nzuri na kuheshimika kwenye jamii kufanya mambo mawili (1) kuapa kwamba hawawezi kuhama chama cha mapinduzi wa watakuwa huko milele (2) Kutokusema lolote wanapoona maovu. Haya mawili strategically yamewafanya wala rushwa kuto kumemewa, kuto kuogopa na wanajua hakuna atakaye hama!. CCM ni chama kisicho wa nithamu kila mtu anapeta. Lakini vilevile Raisi kikwete ameweka urafiki sana mbele zaidi ya chama
 
Mleta mada analaumu alipoangukia badala ya alipojikwaa-haya unayoyaona leo ni matokeo ya mlichokifanya kwa muda mrefu na hiki si kingine bali ni kumuona raisi ndio kila kitu na raisi kama mwenyekiti wa chama Taifa ni mungu mtu hastahili kukoselewa wala kuonywa.

Nyerere angekuwa hai angemsema na kumuonya hadharini na hakika angechukua hatua mapema hata pasipo yeye kupenda.

Baada ya kumlea Lowassa,sasa mnawajibika kulea mtoto wa Lowassa kama mjukuu na mjukuu huyu mkishindwa kumlea,hakika atakwenda kwa majirani zenu, si kulalamika tu, bali na kutoa siri zenu.

It is too late brother!
 
CCM imefikia hapa ilipo kwa kukubali kuongozwa na wezi, wahuni, wala rushwa, majangili, mafisadi akina Kikwete, Mkapa, Lowassa, Chenge, Tibaijuka, Ngeleja na wengi wengineo ndani ya chama hiki cha wahuni. Baba wa Taifa aliyaona haya katika siku zake za uhai na kuionya CCM lakini hakuna aliyemjali sasa yamekuwa kweli.
 

1. Kwani anahukumiwa au inaongelewa hoja kwa kumchukulia yeye kama mfano hai wa hoja anayoilalamikia leo??!!!
2. Ndio maana nimeuliza je yeye bado kiongozi??!! Kama ndio aachie ngazi kwanza sababu mfumo alioingilia madarakani ndio huu anaulalamikia leo, uhalisia uko wapi??!!!
3. Hatuwezi kujifanya hatumfahamu, wakati uhalisia ni kuwa tunafahamu na yeye ni mnufaika wa huu mfumo

Mantiki itapatikana kwa yeye kukubali ukweli kuwa mfumo huu sio sawa tangu yeye anakuwa kiongozi na hivyo aseme wazi kuwa tangu kipindi hiko mfumo haukuwa sahihi. . . . nje ya hapo anakuwa hana mamlaka ya kukemea sebuleni wakati anakumbatia hicho hicho akiwa chumbani . . . .NO
 

Siku ingine chagua lugha moja ya kuwasilishia hoja zako.ila lowasa lazima akatwe maana hakuna jinsi
 
Yaani nyie watu mna matatizo sana
William anaharibu vibi amani kwa hoja yake hii
Unajua ninyi mijitu ya CCM mnaudhi sana

Huwezi elewa kama unasoma maandishi kama Juma na Roza. . . . .
Walewale. . . . unatetea upuuzi na kujidai unajua watu. . . . . . by the way una EVIDENCE na FACTS kuwa mimi ni CCM?!!!!
 
W.J.Malecela said:
CCM tumefikaje hapa tulipo?
Eti CCM tumefikaje hapa tulipo? Is this a joke? Yaani kuna mtu ndani ya CCM yuko kwenye msafara ingawa hajui msafara wenyewe unaelekea wapi? Au pengine ndivyo walivyo wengi ndani ya hicho chama...wapo wapo tu kwenye msafara bila kujua wanakwenda wapi. Sasa wanafika mwisho wa safari ndio wanashangaa wamefikafikaje walipo.

This is more than funny...this is serious. Kwamba kwa miaka 50 wameng'ang'ania usukani wakilikokota taifa bila dira. Ghafla kama vile wanazinduka usingizini na bila haya wanaanza kushangaa na kujiuliza ni wapi walipo na wamefikaje huko! Wanasahau kuwa hapo walipo pia ndipo walipolifikisha na taifa na wanatakiwa kuwajibika kwa hilo.

Kwa mwana CCM ambaye, pamoja na sisi wananchi kuwapigia kelele tukiwa na wasi wasi wa tunakoelekea, kuanza kuonesha mshangao wa namna tulivyofika tulipo ni ulaghai mtupu. Kejeli, dharau, mapigo na mateso tuliyoyapata kila tulipojaribu kukataa kuburuzwa hatutakaa tuyasahau kamwe na utetezi wowote ule hautoshi.

Kama ni kweli CCM wanashangaa tumefikaje tulipofika dawa ni moja tu, kuwaomba radhi wananchi na kuacha kung'ang'ania madaraka kwani uhalali, uwezo, nia na sababu hawana tena. Madhara yaliyosababishwa na uongozi wa miaka 50 bila dira ni makubwa na huu ndio mtihani mkubwa kwa timu mpya itakayokamata dola Oktoba.
 
Hakuna msafi ndio CCM wote corrupted "over"
 

Asante sana mkuu, Taifa limekuwa hivi sababu ya watu kama yeye. . . . .na bado kuna watu uumu hawaoni hatari ya uthubutu wa mtu kama mtoa mada kuja kujipambanua ati hajui nini kimetokea. . . .Kweli tukae kimya na kumuunga mkono??!!

HAPANA. . . . . . .
 
huyu le mutuz c lile baba zima lililopigwa picha likiparty katikati ya wajukuu zake kwenye after school bash, ila co issue namuuliza tu mpango wake wa kumngoa lusinde mtera bado anao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…