CCM & TLP zang'ara chadema hoi bin tabani Arumeru East

Usituharibie siku!' kwa habari za kukurupuka ushindwe na ulegee hujui hata kutambua nyakati it seems you ar still a premitive' lead the peoplez mood with chadema viva chadema watashindana lakini hawatashinda
 
KWA UJUMLA NAUNGANA NA MDAU ALIYESEMA KUWA UMEAMUA TUKUONE KWENYE THREAD KWAMBA NA WEWE UMETOA WAZO.KI UKWELI NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.MIMI NADHANI KWA USHAURI WANGU NAONA KAMA UMEINGIA CHOO CHA KIKE.WEWE HATA VYOMBO VYA HABARI HAUFATILII?MSALIMIE MJOMBA WAKO MWIGULU NCHEMBEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE:scared:
 
Ndugu wanajamii,
Salaam.
Naomba tuangalie jinsi ya kujibu hoja zetu! Aliyedokeza mada nafikiri hakukosea Bali ni uelewa alionao. Inawezekana amekwenda kwenye mkutano wa kampeni kwa mara ya kwanza kwa hiyo kwake watu walikuwa wengi ingawa angeenda kwenye mikutano ya vyama vingine angeweza kubadili kauli yake.
Ningeomba akaelezwa kwa lugha rahisi, nyepesi na nzuri ili aelimike. Lugha iliyotumika kumjibu sioni kama itamsaidia chochote.
Mwisho, watoa kura si sisi kwenye jamii forum bali ni wananchi wa Arumeru. Tunatakiwa kuwaheshimu na kukubali watakayemchagua kwa haki bila KUCHAKACHUA.
Anjo
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.
[/QU
 
Ahsante kwa taarifa ya uongo ukikua utaacha
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.
[/QU
 
Ni kweli kabisa Chadema imepoteza mvuto Arumeru, lakini umekosea jambo moja.....watu wote wanajaa kwenye mikutano ya CUF na NCCR; sio CCM wala TLP, na kuna tetesi kuwa mgombea wa CDM anataka kuhamia CUF na wa CCM atahamia NCCR, hebu endelea kutujuza juha wewe

We na mleta hoja wote mmetumia za mbayuwayu. . . .
 
Nadhani kwa signature yako ulichokifanya ni haki kabisa....Nina uhakika kabisaaa....Wewe na ndala zangu za maliwatoni hamtofautiani..kukanyagwa kila ukiwa na haja...Sasa wewe hao waliokutuma wamekufanya ndala za maliwatoni na wala huna malipo yeyote zaidi ya kukanyagwa...

  • :redface:






I'm like this!
 
kimsingi ccm haina jipya la kutupa matumaini watz,mtaji pekee walionao ni kueneza ***** wa propaganda ktk vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.wanadhani kwa kufanya hivyo wataishinda nguvu ya umma,wanasahau kwamba watanzania leo hii hawajifunzi kwa maneno tena bali vitendo kupitia maisha halisi wanayoishi.kama mag amb a mlidiriki kumuua baba wa nchi mtaaminiwa ktk lipi?hawa was enge wachache waganga njaa wanakuja humu jamvini na ***** wao wasitutoe katika mada.
 
hata mie nahisi chadema wajipange upya kampeni huko arumeru....sio haya maigizo,wanachi sio wajinga..... 419850_2830849892133_1285698749_32205476_1006878825_n.jpg
 
acheni mizaha hapa. cccm wanajenga mazingira ya kuiba kura hapa. ebu jamani tuwe macho. mwenye akili yeyote anajua kinachoendelea arumeru pale. cdm inafunika mbaya. mbinu iliyotumika pale manispaa tutaitumia. hamna kuingia wala kutoka. vijana wa cdm naomba tushirikiane kwa hili la kulinda kura. tunapambana na system
 
Hakyamungu JF baadhi yao ni wehu yaani mtu hadi hii leo anashindwa kujua chama gani viongozi wake wanasifika kwa ufisadi? jamani niambieni MAGAMBA YAMESABABISHWA NA NINI?
 
Kampeni za uchaguzi ndani ya jimbo la arumeru zimepamba moto huku upepo wa kisiasa ukivuma vibaya kwa chadema baada ya kupoteza mvuto kwa kasi ya ajabu ndani ya Jimbo la arumeru. Aidha kwasasa ushindani mkali wa kuwania kiti hicho umebaki kwa vyama vya CCM na TLP. Chama cha TLP kimetamba kuongeza mbunge wa pili katika bunge la Tanzania baada ya kuanza kukubalika kwa kasi na wakazi wa jimbo la arumeru.

Chadema ambayo kwasasa viongozi wake wakuu wanakabiliwa na tuhuma nzito ya ufisadi imekosa sera na mwelekeo na kubaki kunadi kauli mbiu yake ya peoples power ambayo imewachosha wakazi wa arumeru.
Hata Gadaffi alijifariji hivyo hivyo
 
huyu jamaa anaota, mi ninafuatilia hivz kampeni kila siku na kila mahali, kila chadema wanapo fika wananchi wanafurika kuliko kawaida, mimi mwenyewe nina safiri zaid ya 25km kushuhudia makamanda. sasa wewe umetumia kigezo gani kusema chadema imepoteza mvuto? acha kupayukapayuka hovyo we are serious with this election.
 
ukweli akiambiwa mtu huchukia...... twataka tuelezwe kuwa tutashinda kama tulivyoelezwa IGUNGA! Tuambiwe ukweli tujue twajipanga vipi
 
Back
Top Bottom