makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 886
Yatakuja hapa tu kubisha hawa vichwa maji.
Siku hizi sijisikii vizuri kwa kuwakosa vibwengo wa Lumumba, hivi bado tu fungu halijatoka?!!
Yatakuja hapa tu kubisha hawa vichwa maji.
Unajiita jembe africa wewe ni jembe ukabila
Mkuu, kwani kampeni bado? Mbona leo asubuhi hii nimesikiliza radio inayomilikiwa na mhe Rage iitwayo VOT ikimfanyia kampeni mhe Mfutakamba mbunge wa Igalula?Kumbe ndio maana wanashindwa kutoa ratiba ya kuchukua fomu za kugombea
mangatara wasomali hawafai hata bure si unaona kenya wanavyotesekajembe;
Acha ubaguzi akikusikia rege nakuambia atakutoa roho na lile libastola lake shaurilo. Namfaham yule aliwahigi kuny.ea mtondooo si wamkumbuka. Haogopi jela yule anaogopa Mungu na njaa tuu:A S-rap::A S-rap::msela:
hawakawii kusema kuna mkono wa CDM wakati ni wao kwa wao wanazikana.Wanachama wa CCM Tabora Mjini wamefunga ofisi kumzuia Katibu wao wa Tabora Mjini asiingie. Hii inadaiwa kwa sababu ya kuwagawa wanachama na hivyo kuhatarisha uhai wa chama hicho kikongwe!
Wanachama wa chama hicho wameapa kutofungua ofisi hiyo hadi katibu huyo atakapohamishwa au kufukuzwa nafasi yake ya ukatibu!
Source: ITV habari za saa
samwelmeleka huyu rage hafaiUnajiita jembe africa wewe ni jembe ukabila
Ndugu zangu wasukuma na wanyamwezi tatizo pale ni Rege.Huyu msomali anayejifanya mnyamwezi ndio analeta fitna pale,moteeni msomali huyo,yeye ndiye ameanzisha fagi hilo
Ccm hakukaliki kila mtu anamuona mwenzake mchawi na bado
Ukishayaona yanaanza kugombana yenyewe kwa yenyewe ujue kumeshakucha..
Pamoja na historia ya kutukuka ya mji wa Tabora, mchango wa wananchi wa Tabora katika kuikomboa Tanzania kutoka kwa mafisadi haupo kabisa! Wamebaki wakitumikishwa katika mashamba ya tumbaku kama manamba!
Mimi nasema hivi bora kinuke tu, tena kinuke mpaka kiwanukie kwani tumeshachoka sasa hapa Tabora Mjini na hiki chama...tunamtaka Athuman Said Sudi wa CUF atuongoze wana Tabora Mjini.
Mkuu sema taratibu unatutonesha kidonda wanyamwezi wenzangu wa tbr sijui nani kawaroga,miaka 54 ya Uhuru Barbara ya lami bado haijafka mkoani kuunganishwa na miji mingine.
Usafiri pekee uliobaki wa uhakika wa reli umehujumiwa hakuna kitu,kikubwa kilichibaki ni kile sanamu la Nyerere,halafu wamelalia masikio na CCM lao.
Na wazee wale waganga wa matambiko na michawi yote ya mjinivinashabikia CCM! Kweli CCM na shetani wa na unasaba
Kila kihusucho ccm kwasasa ni beleshi la udongo kaburini mwa chama chawala
Siku hizi sijisikii vizuri kwa kuwakosa vibwengo wa Lumumba, hivi bado tu fungu halijatoka?!!
Wanachama wa CCM Tabora Mjini wamefunga ofisi kumzuia Katibu wao wa Tabora Mjini asiingie. Hii inadaiwa kwa sababu ya kuwagawa wanachama na hivyo kuhatarisha uhai wa chama hicho kikongwe!
Wanachama wa chama hicho wameapa kutofungua ofisi hiyo hadi katibu huyo atakapohamishwa au kufukuzwa nafasi yake ya ukatibu!
Source: ITV habari za saa
Huyu aliekua anakomenti kww jina Samwel Meleka mbona anatumia ac yangu??mm ndio samwel meleka
wewe ulifungua lini ac yako?