Wanachama wa CCM Tabora Mjini wamefunga ofisi kumzuia Katibu wao wa Tabora Mjini asiingie. Hii inadaiwa kwa sababu ya kuwagawa wanachama na hivyo kuhatarisha uhai wa chama hicho kikongwe!
Wanachama wa chama hicho wameapa kutofungua ofisi hiyo hadi katibu huyo atakapohamishwa au kufukuzwa nafasi yake ya ukatibu!
Wanachama wa CCM Tabora Mjini wamefunga ofisi kumzuia Katibu wao wa Tabora Mjini asiingie. Hii inadaiwa kwa sababu ya kuwagawa wanachama na hivyo kuhatarisha uhai wa chama hicho kikongwe!
Wanachama wa chama hicho wameapa kutofungua ofisi hiyo hadi katibu huyo atakapohamishwa au kufukuzwa nafasi yake ya ukatibu!
Ndugu zangu wasukuma na wanyamwezi tatizo pale ni Rege.Huyu msomali anayejifanya mnyamwezi ndio analeta fitna pale,moteeni msomali huyo,yeye ndiye ameanzisha fagi hilo
Wakafunge na Lumumba nako Lowassa na Membe hawaelewani,Wassira na Lowassa nao kumekucha,Nape na Kinana nao hivyo hivyo mwingine ni wa Lowassa,mwingine ni wa Sitta.