CCM Tabora kimenuka!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,824
Reaction score
18,085
Wanachama wa CCM Tabora Mjini wamefunga ofisi kumzuia Katibu wao wa Tabora Mjini asiingie. Hii inadaiwa kwa sababu ya kuwagawa wanachama na hivyo kuhatarisha uhai wa chama hicho kikongwe!

Wanachama wa chama hicho wameapa kutofungua ofisi hiyo hadi katibu huyo atakapohamishwa au kufukuzwa nafasi yake ya ukatibu!

Source: ITV habari za saa
 
Ndugu zangu wasukuma na wanyamwezi tatizo pale ni Rege.Huyu msomali anayejifanya mnyamwezi ndio analeta fitna pale,moteeni msomali huyo,yeye ndiye ameanzisha fagi hilo
 
Wapelekewe bakora wachapane tujue kama kweli wana hasira
 
Ccm hakukaliki kila mtu anamuona mwenzake mchawi na bado
 
Kumbe ndio maana wanashindwa kutoa ratiba ya kuchukua fomu za kugombea
 
Wakafunge na Lumumba nako Lowassa na Membe hawaelewani,Wassira na Lowassa nao kumekucha,Nape na Kinana nao hivyo hivyo mwingine ni wa Lowassa,mwingine ni wa Sitta.
 
Endeleeni kutokuelewana hadi october ili chadema tufanye yetu kama tulivyopanga.
 
Ukishayaona yanaanza kugombana yenyewe kwa yenyewe ujue kumeshakucha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…