CCM sina hamu nao!!

CCM sina hamu nao!!

unaweza kuwa sahihi ndugu ila tatizo kubwa la wakopaji wengi wanapoteza malengo mara wapatapo pesa Mkuu nakuingiza matumizi ambayo hayakukusudia na matokeo yake nikushindwa kulipa madeni na kushindwa kufikia malengo.

serikali ni yetu wote japo sio wote tunaokubali mambo yake lakini pamoja na mapungufu yake bado ni muhimu kwetu.


hapana mkuu wangu, hawapewi pesa mkononi-wanakatwa mbolea bei mbaya, wanakatwa kodi/ushuru/michango haina hesabu, wanakatwa madawa na pembejeo zingine kwa ujumla kwa kiwango kisichokubalika. serikali iko usingizini

kwa taarifa yako wengi wanalaza madeni, wanakatwa pesa inaisha bila kumaliza madeni nilipitia Lupa tinga tinga chunya nibalaa usipime. nilipita pia lalago maswa na mhunze kishapu.


kwenye blue sina pingamizi.
 
Back
Top Bottom