FMES,
Bila shaka Tanzania yote ni Chafu kwani tupo ktk orodha ya juu ya nchi zinazo ongoza kwa Corruption duniani. kila baya au ovu la kiuchumi duniani tupo ktk the best 20s..nini zaidi tunataka tuambiwe ili tukubaliane na ukweli.
Ndio uchafu wenyewe huo mkuu huanzia kwa wazazi..Ukiniuliza mimi kama sisi Watanzania ni wachafu nitakubali hata kama sababu ni mzazi na ndio maana tupo hapa JF kutafuta mbinu za kujisafisha. Wasomi kama nyie ndio mnaotupa darasa kwani sii aibu kumwambia mzazi wako kuacha Ufuska..Ni haramu kula chakula kilichotokana na fedha za ufuska au wizi hata kama wewe ni clean!
Tuwe responsible na accountable..
Bila shaka Tanzania yote ni Chafu kwani tupo ktk orodha ya juu ya nchi zinazo ongoza kwa Corruption duniani. kila baya au ovu la kiuchumi duniani tupo ktk the best 20s..nini zaidi tunataka tuambiwe ili tukubaliane na ukweli.
Ndio uchafu wenyewe huo mkuu huanzia kwa wazazi..Ukiniuliza mimi kama sisi Watanzania ni wachafu nitakubali hata kama sababu ni mzazi na ndio maana tupo hapa JF kutafuta mbinu za kujisafisha. Wasomi kama nyie ndio mnaotupa darasa kwani sii aibu kumwambia mzazi wako kuacha Ufuska..Ni haramu kula chakula kilichotokana na fedha za ufuska au wizi hata kama wewe ni clean!
Tuwe responsible na accountable..