CCM SI MJITANGAZEE..

CCM SI MJITANGAZEE..

Vanestrooy

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2016
Posts
259
Reaction score
128
Tushawazowea kuiba ni kawaida yenu na kujitangaza mmeshinda
sjajua mnachosubiri ni ninii tumeshuhudiaa mlivyoibaa
na mlivyotumia Nguvu nyingi mpaka mmegarimu maishaa ya watu
Jitangazeni tuu na muingiee mitaani mshangiliee
Mungu Anawaonaa.
 
Tushawazowea kuiba ni kawaida yenu na kujitangaza mmeshinda
sjajua mnachosubiri ni ninii tumeshuhudiaa mlivyoibaa
na mlivyotumia Nguvu nyingi mpaka mmegarimu maishaa ya watu
Jitangazeni tuu na muingiee mitaani mshangiliee
Mungu Anawaonaa.
1. Huyo binti asingeuawa cdm wangeshinda?

2. CDM wasingefanya maandamano huyo binti angeuawa?

Majibu plz
 
Tushawazowea kuiba ni kawaida yenu na kujitangaza mmeshinda
sjajua mnachosubiri ni ninii tumeshuhudiaa mlivyoibaa
na mlivyotumia Nguvu nyingi mpaka mmegarimu maishaa ya watu
Jitangazeni tuu na muingiee mitaani mshangiliee
Mungu Anawaonaa.
Hawana furaha ya ushindi kwakuwa wanajua sio halali
 
1. Huyo binti asingeuawa cdm wangeshinda?

2. CDM wasingefanya maandamano huyo binti angeuawa?

Majibu plz
Kama DED angetimiza wajibu wa kutoa hati za viapo kwa mawakala bila shinikizo, maandamano yangetokea? Kama RPC Mambosasa ange-facilitate na ku-mediate ili viapo vitolewe kabla ya maandamano, maandamano yangekuwepo? Hivi kudai haki yako ni kosa? Kwa hali iliyokuwepo unadhani viapo vingetoka? Kuna watu wamepewa madaraka lkn hawajui wajibu wao. Chukulia mfano wa kesi ya Sugu Mbeya, yaani hadi wananchi waandamane, mali ziharibiwe, ndipo mtu apewe haki yake! Tunawafundisha nini raia? Kuwa hawawezi kupata haki hadi waandamane!

Vv

Vv
 
1. Huyo binti asingeuawa cdm wangeshinda?

2. CDM wasingefanya maandamano huyo binti angeuawa?

Majibu plz
Wewe na punda huna tofauti yoyote kwenye kufikiri, kuwaza na kutenda, ila punda anakuzidi kigezo cha ubebaji mzigo, hivyo punda ana thamani ya punda kuliko wewe
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tushawazowea kuiba ni kawaida yenu na kujitangaza mmeshinda
sjajua mnachosubiri ni ninii tumeshuhudiaa mlivyoibaa
na mlivyotumia Nguvu nyingi mpaka mmegarimu maishaa ya watu
Jitangazeni tuu na muingiee mitaani mshangiliee
Mungu Anawaonaa.

We expected such a blanketed remarks from a Hooligan of your type.
 
Lakini polisi na hizi chaguzi ni wapi na wapi? Jeshi latakiwa lijitathmini!
 
Nimeshawahi kutamka siku moja na mwambia mshikaji wangu kabla ya hizi chaguzi za marudio, upinzani wakipata angalau mbunge mmoja 2020 tutambike
 
1. Huyo binti asingeuawa cdm wangeshinda?

2. CDM wasingefanya maandamano huyo binti angeuawa?

Majibu plz
Duh, umetunga maswali mepesi sana, nadhani ndio akili yako ilipoishia.
Ungeongeza na haya ya ufahamu:-
1. Mkurugenzi kwanini hakuwapa barua za utambulisho mawakala wa CDM?
2. NEC kwanini inawatumia wateule wa Rais katika chaguzi?
3. Polisi kwanini wanakwenda na silaha za moto kwenye mikutano ya siasa?
 
Back
Top Bottom