Sawa yanga ndiyo timu iliyo shiriki kupatikana kwa uhuru wa TanganyikaZaidi ya bus 5 za wanachama wa CCM. kutoka Sengerema. Kesho wanaelekea RWANDA kuisapoti Yanga. Hago yajili mji wa. Sengerema shamra shamra zimeanza ...Kwa mbwembwe za mashabiki wa Yanga kutoka mikoa mingine kupiga mjini napa Kwa shangwe za vuvuzela
Duh!Zaidi ya bus 5 za wanachama wa CCM. kutoka Sengerema. Kesho wanaelekea RWANDA kuisapoti Yanga. Hago yajili mji wa. Sengerema shamra shamra zimeanza ...Kwa mbwembwe za mashabiki wa Yanga kutoka mikoa mingine kupiga mjini napa Kwa shangwe za vuvuzela
Kidumu Chama Cha MapinduziZaidi ya bus 5 za wanachama wa CCM. kutoka Sengerema. Kesho wanaelekea RWANDA kuisapoti Yanga. Hago yajili mji wa. Sengerema shamra shamra zimeanza ...Kwa mbwembwe za mashabiki wa Yanga kutoka mikoa mingine kupiga mjini napa Kwa shangwe za vuvuzela
AahaaaaaaNjooni wote ila el merrekh tutawabatiza UTO na maji ya moto
Aahaaaaa,ya Chadema je?Sasa kwa jezi za yanga utawezaje kutofautisha huyu ccm na huyu yanga mkuu?
Mungu wa Mbinguni mbariki mh Tabasamu 😄Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Eti Bwana johnthebaptist Chadema na wao watapelekq makamanda wakuisapoti timu?
Mpe salamu zangu,ametuheshimisha sana wananchi!Mungu wa Mbinguni mbariki mh Tabasamu 😄
Aahaaaaa,ya Chadema je?
Kwa hiyo unataka watu wakiongelea bandari waache hata Mambo Yao ya kijamii?Duh!
Watu hawana habari ya bandari wala katiba.
Wabongo bwana! We wawekee hapo Yanga na Simba tu basi utawageuza upendavyo
Sengerema maji ya shida, CCM iko busy na kupeleka washabiki Rwanda 🇷🇼Zaidi ya bus 5 za wanachama wa CCM. kutoka Sengerema. Kesho wanaelekea RWANDA kuisapoti Yanga. Hago yajili mji wa. Sengerema shamra shamra zimeanza.
Kwa mbwembwe za mashabiki wa Yanga kutoka mikoa mingine kupiga mjini napa Kwa shangwe za vuvuzela
Hao wanao enda huko hawafiki hata 1% ya watanzaniaDuh!
Watu hawana habari ya bandari wala katiba.
Wabongo bwana! We wawekee hapo Yanga na Simba tu basi utawageuza upendavyo
Uongo huo.Zaidi ya bus 5 za wanachama wa CCM. kutoka Sengerema. Kesho wanaelekea RWANDA kuisapoti Yanga. Hago yajili mji wa. Sengerema shamra shamra zimeanza.
Kwa mbwembwe za mashabiki wa Yanga kutoka mikoa mingine kupiga mjini napa Kwa shangwe za vuvuzela