Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Kufuatia kitendo cha ded wilaya ya Ilemela kushindwa kuwalipa mgambo waliosimamia mitihani ya kidato cha nne mwaka jana, mgambo hao wameamua kumwaga mboga na ocd kuamua kuwapiga mabomu ya machozi na virungu, ccm mtaendelea kuumbuliwa kwa nguvu ya mungu