CCM Sasa Inavuna Ilichopanda


mkuu nakushukuru kwa thread nzuri yenye mantiki sawia,nakwa hilo nakupongeza.wenye akili zao walisema "what makes an interllectual different from a normal civilian is seing beyond the length of his/her nose.
 
hamchoki na dharau
Mamndenyi

Dharau ipo wapi hapo? Huo ndio ukweli wenyewe usiogope kuwa mkweli eti kwasababu utaudhi watu!

"Msidanganyike; waasherati hawaurithi Ufalme wa Mungu, wala
waabudu sanamu, wala walawiti, wala wazinzi, wala wafiraji, wala
walawiti, wala wevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi". (1
Wakorintho 6:9,10).

Mapadri wasiowaadilifu kabla ya kuingilia wanakwaya walianza na vijana wa kiume nina uhakika umenielewa sina haja kufunguka sana Bavicha wanaweza wakatoa ban lakini huo ndio ukweli wenyewe; hana hata chemebe moja ya utakatifu; ndio maana hadi leo hii anazini na haoni haya wala aibu!
 
Last edited by a moderator:
hapa kwenye redi jichagulie fungu lako chama; pia pokea zawadi yako hii hapa chini:
[TABLE="width: 696"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 134, bgcolor: transparent"]Kumbukumbu la Torati[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]16[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]19[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Usipotoe maamuzi; wala usipendelee uso wa mtu; wala usitwae rushwa; kwa kuwa rushwa hupofusha macho ya wenye akili, na kugeuza daawa ya wenye haki. [/TD]
[/TR]
[/TABLE]




 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…