mwananchit
JF-Expert Member
- Oct 13, 2008
- 242
- 296
Sasa hivi inaelekea chama tawala kimeishiwa hoja za nguvu hivyo kulikabidhi jeshi la polisi na la wananchi kushughulikia hoja zote za kisiasa, kiuchumi, kibiashara, kielimu na kijamii kwa kutumia virungu, risasi, maji ya washawasha na kamatakamata. Wahenga walisema kwamba kama zana pekee uliyobaki nayo ni nyundo tu, basi kila tatizo utaliona kama msumari hivyo suluhisho ni moja tu - kushindilia!
When the only tool you have is a hammer, you tend to regard every problem as a nail-you just hammer!
When the only tool you have is a hammer, you tend to regard every problem as a nail-you just hammer!