mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Nakumbuka kuwa CCM ilishasema haitamvumilia atakayekutwa na kashfa ya ufisadi...tusubiri vikao halali vya chama...Kamati ya maadili ilisema inaendelea na kazi...Genge la kuwatunza mafisadi likae mkao wa kula
Nimawazo yako hayapingwiSalaam
Kwa hali jinsi ilivyo na jinsi watu wanavyoitupia CCM Lawama kwa yale yaliotokea kati ya Serikali na ACACION, soon Chama kitaamua kujisafisha kwa kuwafuta uanachama watu wafuatao :
1.Chenge
2.Ngeleja
3.Dr kafumu
4.wale wote waliousika kukichafua Chama katika ubashilifu na ufisadi.
Ubashirifu ndio ubadhirifu? maana kiswahili kinakua sanaSalaam
Kwa hali jinsi ilivyo na jinsi watu wanavyoitupia CCM Lawama kwa yale yaliotokea kati ya Serikali na ACACION, soon Chama kitaamua kujisafisha kwa kuwafuta uanachama watu wafuatao :
1.Chenge
2.Ngeleja
3.Dr kafumu
4.wale wote waliousika kukichafua Chama katika ubashilifu na ufisadi.
Salaam
Kwa hali jinsi ilivyo na jinsi watu wanavyoitupia CCM Lawama kwa yale yaliotokea kati ya Serikali na ACACIA, soon Chama kitaamua kujisafisha kwa kuwafuta uanachama watu wafuatao :
1.Chenge
2.Ngeleja
3.Dr kafumu
4.wale wote waliousika kukichafua Chama katika ubashilifu na ufisadi.
Salaam
Kwa hali jinsi ilivyo na jinsi watu wanavyoitupia CCM Lawama kwa yale yaliotokea kati ya Serikali na ACACION, soon Chama kitaamua kujisafisha kwa kuwafuta uanachama watu wafuatao :
1.Chenge
2.Ngeleja
3.Dr kafumu
4.wale wote waliousika kukichafua Chama katika ubashilifu na ufisadi.