CCM: Ni Nani Amewadanganya 9x0=90?

CCM: Ni Nani Amewadanganya 9x0=90?

Albedo

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
5,558
Reaction score
1,460
Jamani CCM Ni nani aliyewadanganya kwamba 9 x 0 = 90?
 
CCM Sio vilaza tu, walikimbia umande wote na wanaogopa madawati vibaya mno ndio maana kwao 9 x 0 = 90 nabungeni mmoja wao anasimama akijiamini nakusema 49 + 35 = 4935 wote bila kujijua ni mambumbumbu wanapiga makofi hadi wanasimama.
 
Jamani CCM Ni nani aliyewadanganya kwamba 9 x 0 = 90?

Fafanua ni wapi CCM ilipoingia choo cha kike, vinginevyo post itakuwa to general to discuss hivyo kuweza kuleteleza general conclusion. Nashauri uwe specific mkuu.
 
Fafanua ni wapi CCM ilipoingia choo cha kike, vinginevyo post itakuwa to general to discuss hivyo kuweza kuleteleza general conclusion. Nashauri uwe specific mkuu.

Mkuu nimeamua kutokuwa Specific Makusudi nipime Uelewa wa CCM katika Strategies zao Dhidi ya Wapinzani wao

I'm Asking CCM,

Ni nani Aliyewadanganya kwamba 9 x 0 = 90?
 
Back
Top Bottom